Ally Kombo
JF-Expert Member
- Nov 11, 2010
- 11,429
- 2,645
Kuna tangazo la biashara linaloelezea tawi lao jipya la Kariakoo, katika kuhamasisha wametumia dhana ya mpemba kufikisha ujumbe. Naamini hawakushauri vizuri, kwani hakuna mpemba ataweka pesa zake huko ! Kwani hawako tayari kutangaza vita na Mwenyezi Mungu na Mtume s.a.w