We lazima umetumwa na magamba au ww mwenyewe ni gamba. Maana mapovu yanakutoka kwa taarifa za tetesi! Kwa taarifa yako ìzo ni propaganda za magamba kuharibu mshìkamano wa walimu na viongozi wao ili kuathìri mgomo kwa faida yao. Soma kila habari hapa kwa jicho la tatu bwana. Vipi wewe?
Siyo ya kweli. Mkoba hafundishi, ni mwajiriwa wa TTU, labda kama amesaini kuingia ofsini kwake. Hizi propaganda zitaisha lini? Walimu shirikianeni kutatua matatizo yetu badala ya kugawanyika.
Kiongozi wa chama cha walimu (CWT) ametajwa kuweka sahihi yake katika kitabu cha mahudhurio ili kuepuka adhabu. Huu ndio usanii wa walimu na mgomo wao feki.
Source: Magazeti asubuhi hii
mkoba anatumiwa na ccm,na yeye anawatumia walimu !Kamanda ulieanzisha mada kuwa makini kama ccm wanakutuma waambie mwaka huu wakalete walim india hatusikii wala hatuelewi. Mkoba hajasaini popote nimetoka kuongea nae mda si mrefu na amedai msisikie wasemayo hao maboya
Kiongozi wa chama cha walimu (CWT) ametajwa kuweka sahihi yake katika kitabu cha mahudhurio ili kuepuka adhabu. Huu ndio usanii wa walimu na mgomo wao feki.
Source: Magazeti asubuhi hii
Hilo gazeti la ccm linajipendekeza lisifungiwe nalo! Siendi kazini mpaka warekebishe! Jk alisema mtu yeyote ni mwl! Mwambieni awalete hao wowote waje kufundisha!
Mukoba si mtumishi wa umma kama unavyofikiri.
aliyekuambia miaka hii niile ya zamani nani? walimu wa ccm wote wameishakufa na kustaafu,mgomo wa waalimu umepangwa ili kutuondoa katika matukio ya msingi yaliyotikisa nchi ambayo ni pamoja na...
mgogoro wa madaktari na serikali
kutekwa na kuteswa kwa Dr ulimboka
wahusika waliotajwa kuhusika na unyama aliofanyiwa Dr ulimboka
kuzama kwa meli ya segull
sera mpya ya mafao haswa kwa NSSF
toka lini walimu na serikali ya ccm wameanza kuhasimiana?