gmosha48
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 2,399
- 1,478
kwa africa mashariki miji unaokua haraka sana ni mtwara na lindi hii niliipata kwa mzungu mmoja amekaa africa mashariki kwa muda mwingi na kwa wakati huo alikuwaanakimbilia mikoa hiyo kwa uwekezaji
kwa mujibu wa taarifa za waziri mkuu mkoa wa mwisho ni singida ukifuatiwa na dodoma kwetu
Haya bana, wewe subiri tu mpaka mzungu aje akwambie. Jitahidi uchanganye na zako kidogo. Kuna vigezo vichache tu ambavyo vingekusaidia: kipato cha kaya, kipato cha mtu mmoja mmoja, upatikanaji wa huduma muhim katika mkoa, mfano, maji, afya, elimu, bara bara nk!