Luushu
JF-Expert Member
- Apr 8, 2012
- 812
- 468
Hivi nyuki kwa kingreza ndio wanaitwa tobacco? Wanaitwa bee tobacco ni tumbaku
Hivi nyuki kwa kingreza ndio wanaitwa tobacco? Wanaitwa bee tobacco ni tumbaku
Dar es Salaam ni mkoa maskini kabisa Tz. Asilimia kubwa yawakaziwanalala nje kwenye maboksi na kula mlo mmoja tu.
Singida,Lindi na Mtwara sidhani kama watakosa kuingia top 5,ikifuatiwa na Dom.Hawa ndiyo mama wa umaskini tz waliko wekeza magamba.
Singida,Lindi na Mtwara sidhani kama watakosa kuingia top 5,ikifuatiwa na Dom.Hawa ndiyo mama wa umaskini tz waliko wekeza magamba.
Kwa kumbukumbu na data za serikali Singida ndiyo mkoa maskini zaidi ya mikoa yote Tanzania,nawakilisha.
Fafanua vizuri mkuu wengine tunatumia opera min hatuwezi fungua pdf. Hiyo list imekaaje?Mtwara ni ya tatu, Singida 12, Dodoma 15, Lindi 9, Dar 1, tabora 20. 2006 data
http://www.tanzania.go.tz/regions/COAST.pdf
Page 13
kuna mtu mmoja aliniambia kuna mkoa fulani eti chakula chao kikubwa ni kumbikumbi! Sijui ni mkoa gani tena ule? Ngoja nimpandie hewani anitonye tena halafu nitawaambia.
Singida haiwezi kuwa maskini, huu ni uzushi unaoenezwa kwa wajinga wasio kama nyie. Singida ni Supplier wa Mazao mengi sana kwa mikoa ya TZ. Ndio maana ukizungumzia Kuku, Mafuta ya Alizeti, Vitunguu n.k Singida inahusika. Think Outside the Box
Yaani unataka kuniambia pamoja na wale Kuku wengi wa kienyeji kutokea huko lakini Singida pia ni mkoa masikini??
Ntwala,
Umaskini wa nini unaozungumzia?
Kama wa Rasilimali, sijui. Lkn kama umaskini unaotokana na occupants wa mkoa wenyewe, basi ni Tabora. Mtu mzima na akili zako huwezi kuishi utegemee nyuki wakulishe. Wanyamwezi mpoooooo! Nakaribisha matusi kwa kuwa najua ukweli unauma
Yale yale..... Umeilisha wewe Tabora miaka yote hiyo? Huku Sikonge ni nadra sana kuletewa chakula na Serikali na mie tangu nizaliwe, sijawahi kula chakula cha msaada cha serikali hata kama ni cha kununua. Baba yangu alikuwa anahakikisha ana chakula cha miaka miwili ijayo mbele kiasi kwamba hata ukitokea ukame, tuliweza kuishi mwaka mmoja bila kulima wala kuvuna na tukawa na ugali hadi wa kuuza.Na kwa akili yako mwenyewe ya Kinyamwezi umeona hapo umenifumaaaaa!
Tetea hoja kama kuna la maana mnalofanya shambani. Kila mtu na kikopo chake chenye tundu ili nyuki waingie na yeye akawahi stendi na chupa zake za konyagi kuuza asali kwenye mabasi yanayotoka Mwanza.
Igunga kuna kashule kamoja tu ka A-Level na bado watu hawajai, wako bize na magogo wanayatoboa kwa kati kati.
Kagera, pwani singida ,dodoma panga mwenyewe ipi ianze source mtakwimu mkuu wa serikali