Person Of Interest
Member
- Sep 15, 2012
- 9
- 0
Kama hamjakoseana,mbembeleze akuambie kwanini anakuwekea vikwazo ikishindikana fanya uchunguzi ujue sababu ya yeye kuwa hivyo.
hivi huu upuuzi wa watu kunyimana haki za ndoa unatusaidia nini jamani?mwanamke au mwanaume unapomnyima mwenzio sakramenti nia yako akale polisi?ni kitu gani cha kutisha kinaweza kutokea kwa watu mloishi miaka karibu kumi sijui kitokee kati yenu kiasi mshindwe kuzungumza,mwanamke.mwanaume anayekimbilia kutumia maumbile yake kama silaha ya kumkomoa mwezie hajui maana ya ndoa!kama mwenzio amekuudhi si mnazungumza?tell her/him wapi kuna tatizo,mwambie anafanya kitu gani ambacho kinakukwaza!haya mambo ya kuanza kupelekana kwa wazazi eti unakataa kulisha mume ni mamabo ya aibu jamani!
kaka angu hebu kaa chini na mkeo muulize ana shida gani!pengine mazingira mliyopo hayampia nafasi ya kujiachia sio wote watoto wa njiwa kama wengine hapa hata juu ya jiwe tunapiga mzigo mradi kitu kimeitika tu na tupo na tuwapendao,
ANDAA SAFARI ikiwezekana iwe nje ya mkoa!mtayarishie vijiguo sexy ana we jiandalie hivo hivo mwambie mke wangu tubadilishe viwanja !huko hebu jaribuni kusahau na uanze yale malovee ya enzi zile kwa kuanzia,then tuone nini kitajiri!
Pole ndugu,kwanza kama kweli unaisimamia nyumba kama MWANAUME ni lazima mkeo aseme tatizo ni nini,usikubali usimamizi wako ukayumbishwa na kisirani cha mkeo.Ni lazima awe wazi kuzungumza nini tatizo,kama hataki ni bora kila mmoja akachukua hamsinh zake sio lazima kuishi nae.Kukataa kuzungumza kinachomsibu ni ishara ya kukataa kutatua tatizo,na hiyo inamaana ndoa imemchosha na haitaki.Halafu unajua hawa wenzetu wameumbwa tofauti sana ukimkubalia kila kitu anachokuambia hata kama mema anakuona dhaifu,huenda nalo ni tatizo!
Umempa ushauri mzuri lakini kwa upande wangu nahisi jamaa anamegewa na kidume kingine pembeni. Mwezi mmoja bila ya kuchana marinda halafu wanandoa?, hapo lazima kuna kitu kinaendelea........hivi huu upuuzi wa watu kunyimana haki za ndoa unatusaidia nini jamani?mwanamke au mwanaume unapomnyima mwenzio sakramenti nia yako akale polisi?ni kitu gani cha kutisha kinaweza kutokea kwa watu mloishi miaka karibu kumi sijui kitokee kati yenu kiasi mshindwe kuzungumza,mwanamke.mwanaume anayekimbilia kutumia maumbile yake kama silaha ya kumkomoa mwezie hajui maana ya ndoa!kama mwenzio amekuudhi si mnazungumza?tell her/him wapi kuna tatizo,mwambie anafanya kitu gani ambacho kinakukwaza!haya mambo ya kuanza kupelekana kwa wazazi eti unakataa kulisha mume ni mamabo ya aibu jamani! kaka angu hebu kaa chini na mkeo muulize ana shida gani!pengine mazingira mliyopo hayampia nafasi ya kujiachia sio wote watoto wa njiwa kama wengine hapa hata juu ya jiwe tunapiga mzigo mradi kitu kimeitika tu na tupo na tuwapendao, ANDAA SAFARI ikiwezekana iwe nje ya mkoa!mtayarishie vijiguo sexy ana we jiandalie hivo hivo mwambie mke wangu tubadilishe viwanja !huko hebu jaribuni kusahau na uanze yale malovee ya enzi zile kwa kuanzia,then tuone nini kitajiri!
Hivi ni shetani gani ameingilia hizi ndoa siku hizi?Mkuu mwezi mzima anakupa visingizio???Chunguza lazima kuna mtu mnasaidiana