Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 479
- 665
JF habari!!!
Mwanzo 1:28 (KJV) Mungu akawabarikia, Mungu akawaambia, Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi, na kuitiisha; mkatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na kila kiumbe chenye uhai kiendacho juu ya nchi.
Hilo ndilo kusudio kuu la Mungu.
Yeyote yule anapinga ujue wazi yupo upande wa pili Wala sio kwamba nabahatisha.
Kwa akiri ya kawaida tu kama Babu zetu/wazee wetu wangekuwa na akiri kama ya vijana wa Leo (KATAA NDOA) Je tungelikuwepo chini ya sayari hii?
Imagine kijana wanapeana ushauri kuwa kama unataka Watoto mzalishe then chukua mtoto wako! Ili Hali yeye kalelea Kwa mapenzi ya baba yake na mama yake Hadi kajitambua!
Huyu huyu anakuja kuwaponda Tena ma single mother.
Cha kusitikisha zaidi ukija kuangalia sababu zao hazina mashiko Wala umhimu wowote wengi wameegemea kwenye Mali.
Wanasema mwanamke yupo kimaslahi zaidi. Swali je, mama yako amepata maslahi gani kwa baba yako hadi sasa?
Vijana tutafuteni Hela kukosana kupo tu hata kaka na dada wa tumbo moja hukosana na pengine kupelekana kuuana. Iwapo umekosena na mke wako watoto wapo watafaidika mali zako.
Pia wengi wenu hamjui msingi na taratibu za kupata mke Bora badala yake hisia na life style za kijinga ndo mnazifuata sambamba na genye zenu za kipuzi.
Tangu mwanzo mke alikuwa hatafutwi kwenye media wala mitandao ya kijamii.
Mimi nimekua nikakuta kaka zangu walitaftiwa na mzee wake hadi Leo ndoa zao zipo na wanafuraha.
Mimi binafsi pamoja na kuzurura huku na huko lilipofika swala la kuoa niliwaambia wazazi nahitaji kuoa Sasa wazee wangu. Japo nilikuwa naambiwa tangiapo kuwa kuna binti maeneo Fulani Kwa familia flani anafaa kuwa mke.
Kutokana na ukisasa uchwara niliona upuuzi tu kutaftiwa mke. Baada ya kuwa na mahusiano mengi yasiyo na tija kwangu nikagundua ndio maana wazee wetu walikuwa wanafanya haya.
Nikarudi na kuambiwa nenda sehemu Fulani kafikie Kwa flani (mjomba) mwambie/muulize sifa za familia flani Kisha sema hitaji lako.
Ndicho nilichofanya baada ya sifa za mhi ule kuonekana ni njema binti kamaliza kidato Cha nne (hapo simjui hanijui). Step iliyofata kumasaka na kujionea Kwa macho. Hapo nilkuwa nimeambiwa kuwa hapa ni mke wa familia sio wa maonyesho (mzuri wa sura) tumeangalia sifa kwanza ukipenda oa usipopenda acha!
Mara naonana na binti kwanza nikampenda pia japo sio mzuri sana kulingana na matazamio yangu na matamanio niliyokuwa nayawaza hapo awali kuwa mke nitakaye oa lazima awe na makalio makubwa nk.
Kwa kifupi nilioa Hadi Sasa ndoa Ina furaha mnoo japo changamoto zipo tu kubwa na ndogo ni sehemu ya ubinadamu wetu tu.
Mwisho: Mzazi ukiona mtoto wako wakiume hataki ndoa na ulimwegu huu wa Sasa jaribu kufanya research wavunwa kipapai ni wengi sana Hadi Watoto wawachungaji!
Mwanzo 1:28 (KJV) Mungu akawabarikia, Mungu akawaambia, Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi, na kuitiisha; mkatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na kila kiumbe chenye uhai kiendacho juu ya nchi.
Hilo ndilo kusudio kuu la Mungu.
Yeyote yule anapinga ujue wazi yupo upande wa pili Wala sio kwamba nabahatisha.
Kwa akiri ya kawaida tu kama Babu zetu/wazee wetu wangekuwa na akiri kama ya vijana wa Leo (KATAA NDOA) Je tungelikuwepo chini ya sayari hii?
Imagine kijana wanapeana ushauri kuwa kama unataka Watoto mzalishe then chukua mtoto wako! Ili Hali yeye kalelea Kwa mapenzi ya baba yake na mama yake Hadi kajitambua!
Huyu huyu anakuja kuwaponda Tena ma single mother.
Cha kusitikisha zaidi ukija kuangalia sababu zao hazina mashiko Wala umhimu wowote wengi wameegemea kwenye Mali.
Wanasema mwanamke yupo kimaslahi zaidi. Swali je, mama yako amepata maslahi gani kwa baba yako hadi sasa?
Vijana tutafuteni Hela kukosana kupo tu hata kaka na dada wa tumbo moja hukosana na pengine kupelekana kuuana. Iwapo umekosena na mke wako watoto wapo watafaidika mali zako.
Pia wengi wenu hamjui msingi na taratibu za kupata mke Bora badala yake hisia na life style za kijinga ndo mnazifuata sambamba na genye zenu za kipuzi.
Tangu mwanzo mke alikuwa hatafutwi kwenye media wala mitandao ya kijamii.
Mimi nimekua nikakuta kaka zangu walitaftiwa na mzee wake hadi Leo ndoa zao zipo na wanafuraha.
Mimi binafsi pamoja na kuzurura huku na huko lilipofika swala la kuoa niliwaambia wazazi nahitaji kuoa Sasa wazee wangu. Japo nilikuwa naambiwa tangiapo kuwa kuna binti maeneo Fulani Kwa familia flani anafaa kuwa mke.
Kutokana na ukisasa uchwara niliona upuuzi tu kutaftiwa mke. Baada ya kuwa na mahusiano mengi yasiyo na tija kwangu nikagundua ndio maana wazee wetu walikuwa wanafanya haya.
Nikarudi na kuambiwa nenda sehemu Fulani kafikie Kwa flani (mjomba) mwambie/muulize sifa za familia flani Kisha sema hitaji lako.
Ndicho nilichofanya baada ya sifa za mhi ule kuonekana ni njema binti kamaliza kidato Cha nne (hapo simjui hanijui). Step iliyofata kumasaka na kujionea Kwa macho. Hapo nilkuwa nimeambiwa kuwa hapa ni mke wa familia sio wa maonyesho (mzuri wa sura) tumeangalia sifa kwanza ukipenda oa usipopenda acha!
Mara naonana na binti kwanza nikampenda pia japo sio mzuri sana kulingana na matazamio yangu na matamanio niliyokuwa nayawaza hapo awali kuwa mke nitakaye oa lazima awe na makalio makubwa nk.
Kwa kifupi nilioa Hadi Sasa ndoa Ina furaha mnoo japo changamoto zipo tu kubwa na ndogo ni sehemu ya ubinadamu wetu tu.
Mwisho: Mzazi ukiona mtoto wako wakiume hataki ndoa na ulimwegu huu wa Sasa jaribu kufanya research wavunwa kipapai ni wengi sana Hadi Watoto wawachungaji!