Johnson12345
JF-Expert Member
- May 29, 2023
- 206
- 422
Habari wanajf.
Nilileta uzi hapa kuhusu rafiki yangu mmoja ambaye alizaa nje watoto 2. Na mkewe alizaa nae watoto wawili.
Thread 'Ushauri, niwahusishe watoto wangu wa nje ya ndoa kwenye urithi?' Ushauri, niwahusishe watoto wangu wa nje ya ndoa kwenye urithi?
Alipata kigugumizi kuhusu mali alizochuka na mkewe ambazo zipo kwa majina yake yeye kama mume.
Nyumba tatu na biashara.
Sasa yeye kaniambia kuwa mke wake ni mtu mzuri sana hajawahi kumkosea kitu chochote, ni mtu mwema sana kwake.
Ameniambia kuwa hataki mke wake apate maumivu yoyote ni mtu mzuri sana.
Sasa alichoamua jamaa yangu ni kwamba kaamua nyumba 3 alizojenga na mke wake ,
Nyumba 1 amempa mtoto mmoja na ya pili kamapa mtoto wake mwingine, wote ni wa ndani ya ndoa. Na nyumba moja kampa mkewe.
Alifanya hivyo wote na mke wake kwenye kubadili jina bila mkewe kujua kwa nini kafanya hivyo.
Yeye hataki mzazi mwezie yule aje kuchukua mali za huku.
Ila alikuwa na kiwanja kimoja maeneo ya Goba alijenga msingi na boma na fensi , alichukua pesa na kumalizia , sasa ameshaezeka na wiring,
Pasta tayari.
Kasema mwishoni mwa mwezi huu inaweza ikakalibia kuisha.
Hiyo ndo atawapa watoto wa nje.
Ila mimi nimemwambia atafute namana ya kuwaandikisha hao watoto , maana kikitokea mke wa ndoa atataka percentage kwenye hio nyumba kama itakuwa na jina lako.
Ni mgojwa na shida yake haina Tiba mda wowote ataondoka.
Kaamua hivyo.
Nilileta uzi hapa kuhusu rafiki yangu mmoja ambaye alizaa nje watoto 2. Na mkewe alizaa nae watoto wawili.
Thread 'Ushauri, niwahusishe watoto wangu wa nje ya ndoa kwenye urithi?' Ushauri, niwahusishe watoto wangu wa nje ya ndoa kwenye urithi?
Alipata kigugumizi kuhusu mali alizochuka na mkewe ambazo zipo kwa majina yake yeye kama mume.
Nyumba tatu na biashara.
Sasa yeye kaniambia kuwa mke wake ni mtu mzuri sana hajawahi kumkosea kitu chochote, ni mtu mwema sana kwake.
Ameniambia kuwa hataki mke wake apate maumivu yoyote ni mtu mzuri sana.
Sasa alichoamua jamaa yangu ni kwamba kaamua nyumba 3 alizojenga na mke wake ,
Nyumba 1 amempa mtoto mmoja na ya pili kamapa mtoto wake mwingine, wote ni wa ndani ya ndoa. Na nyumba moja kampa mkewe.
Alifanya hivyo wote na mke wake kwenye kubadili jina bila mkewe kujua kwa nini kafanya hivyo.
Yeye hataki mzazi mwezie yule aje kuchukua mali za huku.
Ila alikuwa na kiwanja kimoja maeneo ya Goba alijenga msingi na boma na fensi , alichukua pesa na kumalizia , sasa ameshaezeka na wiring,
Pasta tayari.
Kasema mwishoni mwa mwezi huu inaweza ikakalibia kuisha.
Hiyo ndo atawapa watoto wa nje.
Ila mimi nimemwambia atafute namana ya kuwaandikisha hao watoto , maana kikitokea mke wa ndoa atataka percentage kwenye hio nyumba kama itakuwa na jina lako.
Ni mgojwa na shida yake haina Tiba mda wowote ataondoka.
Kaamua hivyo.