Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 28,469
- 45,763
That's me
Kumbe it is that easy?Pole ya kawaida hayo, ongea nae delete hiyo account Facebook, jipe muda maumivu yapungue msamehe maisha yaendelee.....
Formlar ipo hiv,malaya atamuoa malaya mwenzakeEvelyn kinachoniuma ni kwamba before sijakutana nae nilikuwa Malaya mbwa ila nlipokutana nae nikajua roho mtakatifu kanigusa na nikabadilika kabisa, nikiwaza hapa atakuwa ameshanisaliti mara ngapi mpaka hivi leo? Kazi yangu yenyewe ni mikoani mara kwa mara naweza kaa mkoani hadi miezi mitatu kama project ni ndefu kiaina...hapo Kati atakuwa ameshakung'utwa vya kutosha, kama Facebook anajirahisi kiasi hichi vipi vijana wa hapa mtaani? Naweza kuwa nasalimiana na vijana wenzangu mtaani kumbe wananicheka wanavyonimegea mke wangu, sijui naanzia wapi kuongea nae, Nina hasira za karibu na sijawahi mpiga hata siku moja, nahisi Naweza fanya kitu cha ajabu....kichwa kinaniuma vibaya hapa
Mkuu kwenye mtoto sina Shaka mtoto kafanana na mama yangu kila kitu mpaka bimkubwa akamkabidhi jina lake, maana wakubwa zangu walitangulia kuzaa hakuna aliyekabidhi mwanae jina la mama ila alipozaliwa wangu mama akamtazama Akasema iwe isiwe lazima aitwe jina lake na wamefanana kweli...hapo sina Shaka ila kwenye kukung'utwa na watu wengine hapo ndio roho inaniuma maana sina ushahidi wa moja kwa moja ila message zimeniumiza vibaya
this is the first time naona comment yako, nimeipenda na ni inspirationalkweli...naomba uwe unapitia nyuzi hapa utupe insiration....salutePole ndugu, ila nliwahi shauriwa kuwa kama huna kifua kaa mbali na simu ya mwenza wako, mi nakuomba fanya yafuatayo, toka naye out siku moja jua wewe na yeye, ikiwezekana hata chukua weekend moja hotelini, wakati mnainjoi embu jaribu kupeleleza kama kuna kitu ana miss kwako, nini anatamani uongeze katika mapenzi yenu, kama vipo hivyo vitu then in a polite way jaribu kumuuliza kama ndo vinafanya anachat ujinga fb, kama havipo jaribu kumuuliza politely why anafanya anayoyafanya?
Ongea naye tatua in a polite way mpe another chance, niliwahi salitiwa na mpenzi wangu niliumwa hadi kulazwa, alikuja akitubu na msamaha analia hadi alizimia ila sikuwa tayari, baadae nilijiuliza hivi ningekuwa ni mimi nimefanya hilo kosa si ningetaka kusamehewa? I believe ingehappen kwako ungetaka na wewe kusamehewa na mwenzako akupe fursa ya kujieleza why ulianguka, kama yeye amechangia au lah, na upewe a chance to make things fresh.
Victor j (MC mtumishi)
Inspirational and motivational speaker/master of ceremony
una busara sana...ilabora uanze na dada yakea ila kuwa na evidence....maana ukizingu atafuta af atasema unamsingizia naitaisha kavukavu...umekuwa mstaarabu na mvumilivu...onesha evidence afmay be dada atamuuliza yeye kupitia hiy anaweza kuja omba msamaha haswaaa....atajutia .hapo utaona tu...ila we una hasira bora utulie usije mtoa meno....wanaume kama wew tup wachacheMkuu mpaka Sasa nimeshaondoka nyumbani sijamuambia kitu ingawa ananijua vyema ameona imebadilika ghafla, kama nilivyosema najijua Nina hasira za karibu sana hivyo nahisi ningeuliza akanijibu ndivyo sivyo ningesababisha mengine. Nilimpigia Dada yake mkubwa Jana tumepanga kuonana leo, nimueleze ya mdogo wake kisha Dada yake nitamsikiliza ana maoni gani sitaki yafike kwa wazazi maana itakuwa aibu kwake na kwangu pia mambo kama haya
Tofauti yake nini, mwanaume anaingia huku mwanamke anaingiziwa kwapani???Kumbe it is that easy?
MY dada cheating a man is different from cheating a woman... ***** nasomesha halafu faida ndo hiyo!!
Sasa we mbona unachochea kuni?Dah bora mwanaume asaliti kuliko mwanamke aisee. Kitumbua cha mke wako kiliwe dah