Don Mangi
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 2,198
- 852
Jamani mnisaidie,siku za karibuni mke wangu anajamba sana nyakati za usiku,tena kwa sauti kubwa,kujamba kwake kunanishtua sana usingizini,na nashindwa kuendelea kulala,jambo hili linanitesa sana maana hata nikiwa kazini ninachoka sana maaana silali masaa ya kutoshanimemuuliza ni nini ila hata yeye hajui chanzo,siwezi kumkimbia,je hili ni jambo la kawaida?....hivi kuna dawa ya kuzuia hilo?....nisaidieni mwenzenuu
huwa chakula cha jioni mnakula saa ngapi? Inashauriwa isizidi saa tatu at least mtu uwe na saa nzima au zaidi ya kupumzika baada ya kula. . .halafu mshauri awe anakunywa maji ya uvuguvugu yanaondoa hewa tumboni