Rurakha
Senior Member
- Oct 20, 2019
- 121
- 209
Habari za leo
Ninaomba ushauri kutokana na changamoto inaomkabili mke wangu leo siku ya 11 tangu ajifungue tarehe 5 February 2024.
Ilikuwa hivi mke wangu alikua na changamoto ya uchache wa damu wakati anajifungua hivyo ikapelelea akaongezewa damu.
Baadae akaruhusiwa na kuna dawa tumepewa sasa changamoto anaopata mke wangu anapumua kwa shida sana, Mbavu zinabana, na anakohoa kikohozi kizito mpaka napata hofu na sauti haitoki.
Hali inazidi kuwa mbaya tumeona kesho tumrejeshe hospital
Wadau naomba kama kuna mtu anauzoefu na changamoto kama yangu anisaidie walau ushaurin
MREJESHO
Nilifuata ushauri wa wadau nilimpeleka mke wangu hospital ya Rufaa ya Mwananyamala walimpokea na kisha walimpima alionekana ana changamoto ya TB ambayo ilikua imeathiri mapafu hivyo mpaka leo ni siku ya 5 mke wangu Kipenzi yupo ICU anatumia Machine kupumua lakini tayari kaishaanza kutumia Dozi ya TB
Naomba mniombee ndugu zangu napitia kipindi kiugm sana
Ninaomba ushauri kutokana na changamoto inaomkabili mke wangu leo siku ya 11 tangu ajifungue tarehe 5 February 2024.
Ilikuwa hivi mke wangu alikua na changamoto ya uchache wa damu wakati anajifungua hivyo ikapelelea akaongezewa damu.
Baadae akaruhusiwa na kuna dawa tumepewa sasa changamoto anaopata mke wangu anapumua kwa shida sana, Mbavu zinabana, na anakohoa kikohozi kizito mpaka napata hofu na sauti haitoki.
Hali inazidi kuwa mbaya tumeona kesho tumrejeshe hospital
Wadau naomba kama kuna mtu anauzoefu na changamoto kama yangu anisaidie walau ushaurin
MREJESHO
Nilifuata ushauri wa wadau nilimpeleka mke wangu hospital ya Rufaa ya Mwananyamala walimpokea na kisha walimpima alionekana ana changamoto ya TB ambayo ilikua imeathiri mapafu hivyo mpaka leo ni siku ya 5 mke wangu Kipenzi yupo ICU anatumia Machine kupumua lakini tayari kaishaanza kutumia Dozi ya TB
Naomba mniombee ndugu zangu napitia kipindi kiugm sana