Mandingo
JF-Expert Member
- Sep 22, 2011
- 4,429
- 3,637
nimpe upendo gani zaidi? Nimemjengea nyumba nzuri,gari nzuri ya kutembelea,chakula kizuri hakikosekani nyumbani,nini zaidi nimpe?
mkuu kama ume mtimizia yote hayo una fikiri mwanamke ni mali tu ndio ana taka???Hebu mlete nikuonyeshe anacho taka then atakuja kukusimulia kama si kuondoka kabisa!kweli wewe dhaifu!