Zero One Two
JF-Expert Member
- Sep 16, 2007
- 9,347
- 3,023
msaada wangu! mlete kwangu me nitaishi nae siku ukimhuitaji utakuja kumchukua kiroho safi.
na mama yangu je?
na mama yangu je?
Asalam aleikum, mimi ni mwanaume rijali mwenye mke 1 na watoto 2,kwa muda mrefu mke wangu amekua haelewani na mama yangu mzazi, na kila ninayeongea naye ili kujua tatizo anamlaumu mwenzie, nikaonelea nikate mawasiliano ya chakula cha usiku/ndoa na mke na niwe nachelewa home ili kumshikisha mke adabu kama mnavyojua hakuna kama mama,matokeo yake nikiwa kazini nimepokea ujumbe toka kwa wife kuwa nanukuu "nakupenda sana mume wangu,kama umeamua hivyo basi nakuomba unitaftie mtu wa kuniliwaza maana mm sijui pa kuanzia na siwezi kuvumilia upweke tena" nimeshindwa kujua nimzibue au nimfukuze,mpaka sasahivi niko bar nagonga maji na nina mawazo tele,msaada jamani nifanyaje
Asalam aleikum, mimi ni mwanaume rijali mwenye mke 1 na watoto 2,kwa muda mrefu mke wangu amekua haelewani na mama yangu mzazi, na kila ninayeongea naye ili kujua tatizo anamlaumu mwenzie, nikaonelea nikate mawasiliano ya chakula cha usiku/ndoa na mke na niwe nachelewa home ili kumshikisha mke adabu kama mnavyojua hakuna kama mama,matokeo yake nikiwa kazini nimepokea ujumbe toka kwa wife kuwa nanukuu "nakupenda sana mume wangu,kama umeamua hivyo basi nakuomba unitaftie mtu wa kuniliwaza maana mm sijui pa kuanzia na siwezi kuvumilia upweke tena" nimeshindwa kujua nimzibue au nimfukuze,mpaka sasahivi niko bar nagonga maji na nina mawazo tele,msaada jamani nifanyaje
hahahahaaaaa mbafu sangu miewhat is this?takataka kabisa hii,ni gongo unakunywa?
Yaani nimeamini kuwa wanaume wanawaza kwa kutumia pua na sio akili, siku zote ukitaka ndoa yako iwe salama, kaa mbali na wazazi wako wewe mwanaume na hata wazazi wa mke. Wazazi waishi kwao na wewe ishi na mkeo na watoto wako tu, hata biblia imeandika, 'mwanaume atamwacha baba na mama yake ataambatana na mkewe nao watakuwa mwili mmoja', sasa wewe unaambatana na mama yako kivipi? Unasema umfukuze mkeo umwache mama yako, je atakupa akupacho mkeo? Hata kama utaoa mwanamke mwingine hataweza kuwa kama yule wa kwanza, je na wanao je? Walelewe na mama kambo kisa mama yako mzazi? Na kama mama yako ameshindwa kuishi na huyo mkeo, ukileta wa pili ndo ataweza kuishi naye? Think twice ndugu yangu, tumia ubongo na akili kwa kufikiria na sio pua au mdomo, in short unakera.