snowhite
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 17,708
- 23,637
na mama yangu je?
kamuoe yeye basi kama ni muhimu kiasi cha kumnyima unyumba mkeo,mijitu mingine sijui huwa mnafikiri kuoa ni kuvaa tu suti na kupiga picha baharini!hivi unathubutu kabisa kurule out ugomvi wa mkeo na mama yako kwa kumyima unyumba mkeo eti unamtia adabu?alichokuuliza ni sahihi kabisa wala hajakosea!wakati mwingine a nuts shul be treated like one!