PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,725
Wakuu, nimepata message toka kwa jamaa yangu tunayeheshimiana sana akieleza mkasa uliompata jioni ya leo...
Wonders will never end kwa kweli!
Jamani, nashindwa nianzie wapi kumshauri huyu broda cha kufanya!...ha ha haaa!
Hebu jameni pimeni situation hii, na kutoa ushauri kwa huyu raia!
.....baada ya kumpima huyo demu kwa kutumia kipimo cha mkojo, akaonyesha yuko positive(mjamzito)_ na kwa bahati mbaya nikakiweka kipimo kwenye suruwale yangu na kukisahau, na leo mke wang amekikuta...Anataka nimwambie nimempima nani, na kwanini nibaki na kitu kama hicho, na kwahiyo nina mwanamke mwengine nje!
Wonders will never end kwa kweli!
Jamani, nashindwa nianzie wapi kumshauri huyu broda cha kufanya!...ha ha haaa!
Hebu jameni pimeni situation hii, na kutoa ushauri kwa huyu raia!