The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
Aisee!!!!!!kazi ipo, kumbe ndio inachowapa kichwa cha kufanya maovu huko nje? hapo ujue tayari familia imeingia dosari kubwa, mama nae akiwa na roho ndogo ataishilia kutafuta wa kumpooza machungu, tit 4 tat...mijanaume inapenda matatizo kweli...mxsii