boss80
Member
- Mar 15, 2011
- 45
- 7
Duh Lizzy umekasirika mama, punguza hasira, inaonekana huyu jamaa angekuwa karibu yako ungemchapa kibao:smash: hapo sasa cpati picha kama ungekuwa ww ndo yamekukuta. HahahahahahaAlivyotungisha mimba nje alikua anategemea nini?Wakati anatoka nje ya ndoa aliomba ushauri?Nashindwa kuelewa watu wengine wanaoa ili iweje?Kama hawajatosheka na mambo ya dunia si wahangaike mpaka watakapoona imetosha?Nwyz nakasirishwa sana na watu wanaingia kwenye ndoa wakijua fika utulivu hawana!Aseme ukweli tu maana kama mtoto atazaliwa hawezi kumficha milele.Alafu kwanzia sasa hivi muwe mnaomba ushauri kabla ya kucheat sio mpaka kigeuke ndo muanze kutoa machozi ya mamba!