Sasa nasukutua kwa mda gani. Na pia nikimalizd kusukutua je, naacha ivyoivyo mdomo au naweza piga mswaki?
Na mkojo unang'arisha pia? Ila dogo uwe makini usimeze ikawa "urine cycle"take this very serious kwa faida yako na members wote humu JF na hata wale wasio members kuwa ukiwa na tatizo lolote lile la meno dawa kubwa ni kusukutua ule mkojo wako wa kwanza wa asubuhi pale tu unapoamka. amini usiamini mkuu mimi nilikuwa na tatizo kuzidi hilo lako na nilipoambiwa hiyo tiba nikawa siamini huku nikiwa na kinyaa lakini siku moja nikaamua kufumba macho na nikafanya kama nilivyoelekezwa huwezi amini matatizo ya meno sasa nayasikia kwako / kwenu na nimepona kila kitu cha kuhusu meno na kinywa. vile vile mkojo wako mwenyewe wa asubuhi unatibu vitu vingi sana ambavyo nikikuambia hapa hautaamini. kila la kheri na pole kwani najua jinsi gani meno yanavyouma.
Na mkojo unang'arisha pia? Ila dogo uwe makini usimeze ikawa "urine cycle"
Kama unajua unang'arisha c unatujuza tu au hadi tukulazimishe? Hujui watu wana meno ya njano? Kuna umuhimu wa kuanzisha thread mpya ndo unielekeze? Af haiitwi tabularaza utatia aibu...nina allergy na matabularaza samahani sana.
Brother, hujawahi kwenda hospitali kwa tiba ya meno ukayaona yale mapatasi ya kungolea? au unaongea tuu kiurahisi kama ule usemi " uwe unapenda kwenda kucheki afya yako hospitalini hata kama huumwi , ukifika kule unakuta wagojwa wamejaaa, sasa docta atakuhudumia wewe mzima au wale wagojwa ambao hawajapata hata nafasi kwa wingi wao?''Nenda hispital utapata ushauri murua kabisa. Na watajua ni njia gan ya kukusaidia. Kama meno yame oza kabisa wata ng'oa ila kama yameathirika kidogo. Watakusafisha na kuziba yaliyo toboka. Pesa yako tu
Rudi kwa dentist au muone daktari, kama tangu Ijumaa inflammation haijakwisha inaelekea kuna infection.Habarini wana jamvi, kama kichwa kinavoeleza ni kwamba niling'oa jino siku ya ijumaa lakini napata maumivu makali sana japo kuna dawa ya kukausha na kusafishia mdomo nilipewa lakini haitulizi maumivu, naomba wataalam wanisaidie dawa bora ya kusaidia kutuliza maumivu
Nilipewa antibiotic ila bado maumivu ni makaliTumia tramadol hydrochloride capsules for acute pain Kama hiyo. Aidha kama hukupewa antibiotic itabidi utumie clavam
Nilipewa medi-oral ya kusukutuaBila kusahau dawa ya kusukutua antiseptic gurgle
Nilipewa medi-oral ya kusukutua