Godee jr
JF-Expert Member
- Apr 17, 2012
- 1,782
- 2,373
Nimetumia dawa ya meno ya Aloe maumivu yakaondoka kwa muda. Vipi mkuu unanishauri niendelee kutumia au?Man Ngosha,
Watafute forever products, wana dawa ya kusukutulia meno inauzwa 13,000/- ukitumia hiyo, jina lako itakuwa historia. Kwani uko wapi tukuunganishe na hao jamaa?
Kama uko mwanza, duka lao ni moja tu, lipo PPF gorofa ya tano karibu na mzunguko wa samaki.