grandMullah23m
JF-Expert Member
- Mar 9, 2017
- 235
- 312
Jamani nawaasa na kuwaomba chondechonde tuliheshimu jino. Jino limeniweka kwenye nusu kaput, umwamba wote, mafunzo yote ya kibabe niliyasahau
Nimeapa kuwa balozi mzuri kuhusu haya mambo:
Tuzingatie usafi wa kinywa siku zote maana haya mambo huwa yanaanza mdogomdogo kama mzaha.
Wenzangu mnaopiga zile bia mbili tatu(haswa zile za ofaa za kule kambini) tusisahau kusukutua hata kidogo na maji ya chumvi.
Kumbe sio bia tu...hata juisi tunazogida nyumbani...pamoja na akina energy...zoote hizo usisahau kusukutua na maji masafi mara baada ya kunywa.
HAKUNA DAWA YOYOTE MTAANI itakayotoa suluhu ya kuumwa jino...tofauti na kufika tu hospitalini na kupata matibabu (tuache kubeti na jino tafadhali, nilikuwa mbishi sana ila duh nimejikuta katikati ya uhai na kifo).
Tuache uoga kwenye kufwata matibabu...Kuna tofauti kati ya Dokta, Dakitari na Daktari....aheshimiwe sana huyu wa mwisho(Daktari).
Mwisho kabisa tujipende wenyewe na tuheshimu wake zetu nimepikiwa mtori na mke wangu na anapambania sana afya yangu...michepuko yote haisaidiagi ukifikia hapa....Mama chanja I promise..nimeacha hayo mambo
Viva
Nimeapa kuwa balozi mzuri kuhusu haya mambo:
Tuzingatie usafi wa kinywa siku zote maana haya mambo huwa yanaanza mdogomdogo kama mzaha.
Wenzangu mnaopiga zile bia mbili tatu(haswa zile za ofaa za kule kambini) tusisahau kusukutua hata kidogo na maji ya chumvi.
Kumbe sio bia tu...hata juisi tunazogida nyumbani...pamoja na akina energy...zoote hizo usisahau kusukutua na maji masafi mara baada ya kunywa.
HAKUNA DAWA YOYOTE MTAANI itakayotoa suluhu ya kuumwa jino...tofauti na kufika tu hospitalini na kupata matibabu (tuache kubeti na jino tafadhali, nilikuwa mbishi sana ila duh nimejikuta katikati ya uhai na kifo).
Tuache uoga kwenye kufwata matibabu...Kuna tofauti kati ya Dokta, Dakitari na Daktari....aheshimiwe sana huyu wa mwisho(Daktari).
Mwisho kabisa tujipende wenyewe na tuheshimu wake zetu nimepikiwa mtori na mke wangu na anapambania sana afya yangu...michepuko yote haisaidiagi ukifikia hapa....Mama chanja I promise..nimeacha hayo mambo
Viva