Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,331
- 33,141
mkuu mzizimkavu mimi pia nina tatizo la meno ila yangu hayaumi ilianza kitobo katikati ya meno mawili ya juu baadae ikawa kama mwanya nikaenda hospital wakaziba baada ya muda pakaachia kuna mtu akaniambia pameachia sababu ya moshi maana navuta sana bange sasa ule uwazi unazidi kuongezeka nahofia miaka michache ijayo nitakuwa na mapengo tena reception nahisi kuna mdudu anakula meno yangu msaada mkuu.
DAWA YAKUTIBU MENO NA FIZI
1) Tangawizi ya unga unachanganya pamoja na chumvi kisha unapiga mswaki. Hii inaondosha maumivu ya kuumwa na meno na kuvimba na ufizi na pia kutoa meno harufu mbovu.
2) Maji ya moto na chumvi uwe unasukutuwa kwa mara 3 au 4 kwa siku. Hii inaondosha kuvimba na ufizi na maumivu makali ya meno.
3) Kutafuna karafuu pia inasaidia kuondosha maumivu na uvimbe na harufu.
4) weka unga wa karafuu kwenye sehemu iliyotoboka litatulia
Tumia mojawapo kati ya hizo Dawa hapo juu ukisha pona uje utupe feedback.
ukiwa na matatizo yako ya kibinafsi wasiliana na mimi kwa njia ya baruwa ya pepe email Address yangu hii
hapa fewgoodman@hotmail.com