sister
JF-Expert Member
- Nov 23, 2011
- 9,014
- 6,846
Kwani mada inasemaje? Kutoa taarifa ama kuomba ruhusa.....sasa wewe hapi haujaomba ruhusa ila umetoa taarifa......ni kitu kizuri......nami naongelea kutoa taarifa kama unaenda sehemu fulani.....siyo haki yake usilazimishe kihivo
naweza nikaamua kumwambia naenda mahali flani lakini siyo kumwomba ruhusa
Isiwe kesi ......haya ni mawazo tu fanya unavyofanyaga siku zote........