Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,513
- 113,640
Wanabodi,
Kwa mila na desturi za kiasili za Kiafrika, Traditional African tradition, kwenye ngazi ya familia, mume ndie mkuu wa familia, ndie anayechagua mchumba, ndiye anaya posa, adie anayelipa mahari, kununulia bidhaa ya mke!, ndie anaye oa, na kukabidhiwa bidhaa yake na kumhesabu mkewe ni mali yake!. Hivyo mume huwa yuko huru kutumia mali yake atakavyo!. Mke naye husubiri kuchaguliwa, kuposwa, kulipiwa mahari na kuolewa na kazi yake ni kutoa huduma, kumhudumia mume na familia.
Na ndani ya African families, role ya Mume ndie kichwa cha familia, ndie the bread winner, na role ya mke ni kutunza mume na familia, na traditional place ya mwanamke yaani nafasi ya mwanamke ni jikoni!, (woman's place is at the kitchen). Dini Pia zitatambua different roles and responsibilities kati ya mume na mke. Mume anawajibu wa wa kumpenda mkewe, kumtunza na kuwa the provider, na mke ana wajibu wa kumtii mumewe!, kutunzwa na kumuhudumia mume na kutunza familia.
Wenzetu waliiendelea marriage ni an institution yenye watu wawili equal, hakuna kuoa kwa mahari hivyo hakuna mkubwa na mdogo, hivyo ikitokea mume hana kazi, mke analisha familia bila manyanyaso.
Kutakana na mabadiliko ya kimaendele ya dunia, kumeanza kutokea changing roles, kwa baadhi ya wanawake ndio bread winners kwenye familia zoo, huku waume wakiwa idle, or jobless!, kuna baadhi ya wanawake ni mabosi makazini kwao, basi ubosi huo huuleta hadi nyumbani!.
Nikiwa jijini Bujumbura, Burundi, (Mimi ni miongoni mwa wale tulioitikia ule wito wa mmoja wa viongozi wetu kututaka tuhamie Burundi, hivyo nimehamia Burundi), Mama Salma Kikwete, amekuja hapa Bujumbura, kuhudhuria mkutano wa high level delegation ya viongozi wanawake Barani Afrika, tulipomuona, tumefarijika sana!, Tulioitika Wito Kuhamia Burundi, Tumefarijika Sana Kumuona Former First Lady, Mama Salma Kikwete. Kumbe Rais Akiwa Mwanamke, Nchi Haina First Lady!
Akihutubia mkutano huu Mama Salma anasema baada tu ya kuupokea mwaliko huo, aliomba ruhusa kwa mumewe JK, akamruhusu, ndipo akasafiri!.
Kauli hiyo ya Mama Kikwete, ya kuomba ruhusa kwa mumewe, imeshangiliwa ukumbi mzima na kumuonyeshea ni moja ya tabia njema za mke mwema
Swali ni jee ruhusa hii huombwa hata kwa safari za kikazi?. Jee ma Boss Ladies wengine wote akiwemo Boss la Boss, nao pia huwa wanaomba ruhusa kwa waume zao kabla ya kusafiri safari za kikazi? au hawa huwa wanawataarifu tuu wenzi wao kuhusu safari lakini sio kuomba ruhusa?
Baada ya kuipost hii video kwenye mitandao ya Jamii, imepata different reaction, hivyo kwa vile mimi sasa naishi hapa Bujumbura, Burundi, na Mama Salma Kikwete, bado yupo hapa Bujumbura, nitamtafuta atufafanulie hili la mke kuomba ruhusa kwa mume ndipo ya asafiri!, limekaaje!.
My Take
Kiukweli Kabisa, upendo, utii na unyenyekevu ni pillars muhimu sana za kudumisha ndoa!, kuna ndoa moja naifahamu ya jamaa mmoja fulani, al maarufu wa enzi hizo!, ndoa yao ilivunjika kwa kitu kidogo sana, mume toka familia masikini alioa mke toka familia tajiri, familia ya mke ikampatia binti yao scholarship ya miaka 4 Marekani, mume hakushirikishwa ila aliarifiwa tuu!, na kugharimiwa kwenda kuwa baby sitter wakati mke akiwa darasani and that was the end!, mpaka Leo mke yuko US, mume Bongo, ndoa chali!.
Kuna wanaume wengi wanapitia mateso na manyanyaso makubwa kutoka kwa wake zao ambao ni ma bosi, ila wanaume wameumbwa na kabah, hawasemi!.
Ombi
Enyi wanawake ma Boss Ladies na wenye vipato kuliko waume zenu, msiwanyanyase wanaume zenu kwa dharau mapuuza, mateso na manyanyaso, mkitaka kusafiri ambeni ruhusa kama mama Salma Kikwete, na mara moja moja when you are not too busy, muingie jikoni mpike!, mpikie mumeo mara moja moja na siku umeme ukikatika mpeleke maji ya kuoga bafuni!
Viva Salma Kikwete!
Viva!
Viva Wake Wema Wote!
Viva!
Mungu Ibariki Tanzania.
Paskali.
Kwa mila na desturi za kiasili za Kiafrika, Traditional African tradition, kwenye ngazi ya familia, mume ndie mkuu wa familia, ndie anayechagua mchumba, ndiye anaya posa, adie anayelipa mahari, kununulia bidhaa ya mke!, ndie anaye oa, na kukabidhiwa bidhaa yake na kumhesabu mkewe ni mali yake!. Hivyo mume huwa yuko huru kutumia mali yake atakavyo!. Mke naye husubiri kuchaguliwa, kuposwa, kulipiwa mahari na kuolewa na kazi yake ni kutoa huduma, kumhudumia mume na familia.
Na ndani ya African families, role ya Mume ndie kichwa cha familia, ndie the bread winner, na role ya mke ni kutunza mume na familia, na traditional place ya mwanamke yaani nafasi ya mwanamke ni jikoni!, (woman's place is at the kitchen). Dini Pia zitatambua different roles and responsibilities kati ya mume na mke. Mume anawajibu wa wa kumpenda mkewe, kumtunza na kuwa the provider, na mke ana wajibu wa kumtii mumewe!, kutunzwa na kumuhudumia mume na kutunza familia.
Wenzetu waliiendelea marriage ni an institution yenye watu wawili equal, hakuna kuoa kwa mahari hivyo hakuna mkubwa na mdogo, hivyo ikitokea mume hana kazi, mke analisha familia bila manyanyaso.
Kutakana na mabadiliko ya kimaendele ya dunia, kumeanza kutokea changing roles, kwa baadhi ya wanawake ndio bread winners kwenye familia zoo, huku waume wakiwa idle, or jobless!, kuna baadhi ya wanawake ni mabosi makazini kwao, basi ubosi huo huuleta hadi nyumbani!.
Nikiwa jijini Bujumbura, Burundi, (Mimi ni miongoni mwa wale tulioitikia ule wito wa mmoja wa viongozi wetu kututaka tuhamie Burundi, hivyo nimehamia Burundi), Mama Salma Kikwete, amekuja hapa Bujumbura, kuhudhuria mkutano wa high level delegation ya viongozi wanawake Barani Afrika, tulipomuona, tumefarijika sana!, Tulioitika Wito Kuhamia Burundi, Tumefarijika Sana Kumuona Former First Lady, Mama Salma Kikwete. Kumbe Rais Akiwa Mwanamke, Nchi Haina First Lady!
Akihutubia mkutano huu Mama Salma anasema baada tu ya kuupokea mwaliko huo, aliomba ruhusa kwa mumewe JK, akamruhusu, ndipo akasafiri!.
Kauli hiyo ya Mama Kikwete, ya kuomba ruhusa kwa mumewe, imeshangiliwa ukumbi mzima na kumuonyeshea ni moja ya tabia njema za mke mwema
Swali ni jee ruhusa hii huombwa hata kwa safari za kikazi?. Jee ma Boss Ladies wengine wote akiwemo Boss la Boss, nao pia huwa wanaomba ruhusa kwa waume zao kabla ya kusafiri safari za kikazi? au hawa huwa wanawataarifu tuu wenzi wao kuhusu safari lakini sio kuomba ruhusa?
Baada ya kuipost hii video kwenye mitandao ya Jamii, imepata different reaction, hivyo kwa vile mimi sasa naishi hapa Bujumbura, Burundi, na Mama Salma Kikwete, bado yupo hapa Bujumbura, nitamtafuta atufafanulie hili la mke kuomba ruhusa kwa mume ndipo ya asafiri!, limekaaje!.
My Take
Kiukweli Kabisa, upendo, utii na unyenyekevu ni pillars muhimu sana za kudumisha ndoa!, kuna ndoa moja naifahamu ya jamaa mmoja fulani, al maarufu wa enzi hizo!, ndoa yao ilivunjika kwa kitu kidogo sana, mume toka familia masikini alioa mke toka familia tajiri, familia ya mke ikampatia binti yao scholarship ya miaka 4 Marekani, mume hakushirikishwa ila aliarifiwa tuu!, na kugharimiwa kwenda kuwa baby sitter wakati mke akiwa darasani and that was the end!, mpaka Leo mke yuko US, mume Bongo, ndoa chali!.
Kuna wanaume wengi wanapitia mateso na manyanyaso makubwa kutoka kwa wake zao ambao ni ma bosi, ila wanaume wameumbwa na kabah, hawasemi!.
Ombi
Enyi wanawake ma Boss Ladies na wenye vipato kuliko waume zenu, msiwanyanyase wanaume zenu kwa dharau mapuuza, mateso na manyanyaso, mkitaka kusafiri ambeni ruhusa kama mama Salma Kikwete, na mara moja moja when you are not too busy, muingie jikoni mpike!, mpikie mumeo mara moja moja na siku umeme ukikatika mpeleke maji ya kuoga bafuni!
Viva Salma Kikwete!
Viva!
Viva Wake Wema Wote!
Viva!
Mungu Ibariki Tanzania.
Paskali.