Ni ombi kidiplomasia MkuuBusara ni kutoa taarifa mapema sio muda wa kutoka, hii inasaidia kama mke anapingamizi aweze kulisema mapema ili muweze ku sort out. Ninaishi na mke wangu namna hii. Huwa siombi ruhusa ila huwa natoa taarifa mapema na mke wangu hupata fursa ya ku challenge ratiba yangu, imenisaidia kuwa na amani ktk familia yangu
umeolewa? Tuanzie hapoHa ha haaa uyo mwanaume anayeomba ruhusu kwa mkewe ya kutoka atakua kaolewa yeye
umeolewa? Tuanzie hapo
Kwa upande mwingine ni kweli kwasababu mke wangu anaweza kunieleza kitu amacho kitanifanya nibaki. Hawezi kunizuia, ila wakati mwingine anaweza kuwa na jambo la msingi ambalo angependa tulifanye pamoja, na kutokana na uzito wa jambo lake naweza kubaki au kutokana na uzito wa jambo langu nitamweleza kuwa ni lazima niende. Usitumie nguvu, ni HEKIMA kidogo tu inatakiwa kuishi kwa wema na mkeo. Fanyeni hivi ili AMANI na UPENDO vistawi katika ndoa zenu.Ni ombi kidiplomasia Mkuu
Na yeye akifanya hvyo utamlaumu......?siombi ruhusa ila natoa tarifa tu na tarifa yenyewe ina neno moja tu "naenda"
Huyo uliyenae mshikilie asiondoke..Wanaume kama hao wanahesabikaKutoa taarifa mapema na kuomba ruhusa ...
Teh....nimeshikamanaHuyo uliyenae mshikilie asiondoke..Wanaume kama hao wanahesabika
Kuna vitu ni nadharia katika ndoa hasa Kama hujajisajili. Mwanamke ni Nguzo ya ndoa Na ni boss. Akikataa usiondoke piga ua hata ukiondoka roho itakusuta urudi. Ila yeye haombi ruhusa bali anatoa taarifa. Umenipata?Unaweza kunipafaida utakayopata ukifahamu?
Wewe inaonyesha upo katika game. Wengine ni nadharia tuKwa upande mwingine ni kweli kwasababu mke wangu anaweza kunieleza kitu amacho kitanifanya nibaki. Hawezi kunizuia, ila wakati mwingine anaweza kuwa na jambo la msingi ambalo angependa tulifanye pamoja, na kutokana na uzito wa jambo lake naweza kubaki au kutokana na uzito wa jambo langu nitamweleza kuwa ni lazima niende. Usitumie nguvu, ni HEKIMA kidogo tu inatakiwa kuishi kwa wema na mkeo. Fanyeni hivi ili AMANI na UPENDO vistawi katika ndoa zenu.
sitamlaumu mpaka ntakapo jua nan anamamlaka ndan ya nyumbaNa yeye akifanya hvyo utamlaumu......?
Wote mana nyie ni mwili mmoja........sitamlaumu mpaka ntakapo jua nan anamamlaka ndan ya nyumba