Mjadala: Mume akitaka kuondoka nyumbani, ni lazima aombe ruhusa au kutoa taarifa kwa mkewe?

Wewe inaonyesha upo katika game. Wengine ni nadharia tu
Ni kweli mkuu nipo kwenye ndoa. Wengi humu hawajaoa wala kuolewa, kimsingi wanazungumza nadharia na ni vitu wasivyovijua. Hawajui practical life ikoje, wanadhani ukioa unakuwa kama bado upo peke yako kumbe sivyo. Kuoa au kuolewa maana yake kuna sehemu ya mambo ulikuwa unafanya wakati upo single itabidi u sacrifice maana hutatakiwa kuyafanya tena
 
Kuna wanawake wamesetiwa wanajua kabisa mme akitoka mapigo fulani yanaamanisha anaenda wapi.. yaani pensi nyeupe means anaenda hapo karibu tu kwa mzee flani..
Jeans na kofia means bar n.k...
Wanaume style hii taarifa inatolewa kwa safari za nje ya mkoa tu..
 
Ni kweli mkuu nipo kwenye ndoa. Wengi humu hawajaoa wala kuolewa, kimsingi wanazungumza nadharia na ni vitu wasivyovijua. Hawajui practical life ikoje, wanadhani ukioa unakuwa kama bado upo peke yako kumbe sivyo. Kuoa au kuolewa maana yake kuna sehemu ya mambo ulikuwa unafanya wakati upo single itabidi u sacrifice maana hutatakiwa kuyafanya tena
Thanks Na mwenye macho Na asome andiko lako. I can assure you, Wanawake ni hatari wanatumaliza au ni silent killer. K zenu ni lulu ingawa kishepu zinatisha.
 
Ila mna haki ya kutaarifiana kwa lolote lile......ni haki ya mkeo kujua unaenda wapi.......
siyo haki yake usilazimishe kihivo
naweza nikaamua kumwambia naenda mahali flani lakini siyo kumwomba ruhusa
 
Kuna vitu ni nadharia katika ndoa hasa Kama hujajisajili. Mwanamke ni Nguzo ya ndoa Na ni boss. Akikataa usiondoke piga ua hata ukiondoka roho itakusuta urudi. Ila yeye haombi ruhusa bali anatoa taarifa. Umenipata?


Hiyo inaapply ndoani kwako.... mimi mwanaume anipe taarifa nifahamu anatoka hiyo ya kuomba ruhusu kwani ye mtoto?
 
Ni kumpa tu taarifa mwenzako naenda sehemu fulani basi.....hivi imagine unaulizwa mmeo yuko wapi unajibu sijui......inakuja kweli.....? Unapotoa taarifa inasaidia hata kuonyesha kuwa mna mawasiliano mazuri baina ya mke na mme........kwani ukisema unaenda mwenge lazma uende mwenge si unaweza kwenda hata morogoro ingawa umesema unaenda mwenge......
...kweli best..upo??..kuaga muhimu ......ila si lazima utoe details zote za utakoenda....ila kudanganya kuwa unaenda mwenge kumbe moro si powa....ni sawa na mtu kudanganya kuwa ameoa kumbe hajaoa...ama ameolewa kumbe hajaolewa....
 
Wale waliokulia mboga saba na kusoma accademy labda ndio wanafanya hivyo,..ila kina iwe kama mimi NEVER,...maake makuzi tuliyokulia yanatusuta.

By the way_am proud of,.......!
Huo sasa mfumo dume
 
Busara ni kutoa taarifa mapema sio muda wa kutoka, hii inasaidia kama mke anapingamizi aweze kulisema mapema ili muweze ku sort out. Ninaishi na mke wangu namna hii. Huwa siombi ruhusa ila huwa natoa taarifa mapema na mke wangu hupata fursa ya ku challenge ratiba yangu, imenisaidia kuwa na amani ktk familia yangu
Umechangia vizuri mkuu ni bora vijana wakajifunza kwako
 
YES !! ili kudumisha Ustaarabu na uungwana katika familiya ili hata watoto wakulie tabiya na hulka nzuri..Hilo jambo ni lazima lifanyike..Maana unajenga mazingira mazuri kwa zoezi la kuridhiana kati ya wazazi (mume /mke)!!

vingine huko maOfisini mbona hutoki ovyoovyo bila kuomba rukhsa au kutoa taarifa?!!
pokea LIKE
 
...kweli best..upo??..kuaga muhimu ......ila si lazima utoe details zote za utakoenda....ila kudanganya kuwa unaenda mwenge kumbe moro si powa....ni sawa na mtu kudanganya kuwa ameoa kumbe hajaoa...ama ameolewa kumbe hajaolewa....
Umefufukia wapi .....mweeeeeee
 
Inakera sana, unakuta mtu uko let say jikon au mahali pengine tofauti na chumbani. Mtu anajiandaa anakuja kukuaga na kuondoka hata bila kusema anaelekea wapi? Akipatwa na tatizo hujui unajibu nini kwa jamii, watoto na hata ndugu.

Kwamba aliondoka tu hata bila kuaga!!! Kweli??? Wanaume mjirekebishe hata kama mnaenda kwenye madeal yenu tajeni basi hata direction ili iwe rahisi kufuata nyayo pindi itokeapo dharura...

Mfano. Nitaanzia posta then Magomeni kisha Manzese hata mtu ukisikia tukio unakuwa na pa kuanzia.

Basi wewe mwanamke ufanye hivyo... weeeee utasemwa na wakati mwingine kipigo. Hata sisi tunapenda kuagwa jamani.....
Datz pita hapa ujifunze kitu, hata kama umetoka kwenye familia ya kunywa chai na kipande cha mhindi
 
KIPINDI NLIPOKUWA NAISHI NA WAZAZI HAKUNA KITU NILICHOKUWA
NAKICHUKIA KAMA KUOMBA RUHUSA WAKATI WA KUTOKA.. daah huwa muda mwingine nikigundua bi maza yupo seblen nilikuwa nahairisha misele yangu cuz najua tu nikitoka bila kumuaga ata-panick...
KWA UPANDE WANGU NILIKUWA NACHUKULIA
KUAGA NI KAMA KIFUNGO FLANI IVI CHA KUNINYIMA UHURU.
 
Back
Top Bottom