Hongera but kufikia hatua hiyo ni rahisi mno hatua inayofuata ndio Ujenzi wenyewe Mziki wa nyumba upo kwenye finishing
Hongera but kufikia hatua hiyo ni rahisi mno hatua inayofuata ndio Ujenzi wenyewe Mziki wa nyumba upo kwenye finishing
Mi nimeweza kwa kujipanga na kipato changu ni kidogo. Vijana tusitishwe na wanaotaja mamilioni ili kujenga nyumba. Hii inakaribia kuisha na sijafikisha hata m 20!
Siku zote huwa namuheshimu sana mtu anaefanya kitu kama hiki......hata kama ni room moja........anastahili pongezi.......heshima kwako sana mkuu.......wenzio hiyo pesa ya kufanya hivyo wanaweka heshima bar.........
Mi nimeweza kwa kujipanga na kipato changu ni kidogo. Vijana tusitishwe na wanaotaja mamilioni ili kujenga nyumba. Hii inakaribia kuisha na sijafikisha hata m 20!
Exactly@Preta,hata km ni kibanda kinachoweza kupigwa teke na kuku ila aliyejenga bwana lazima aheshimiwe..binafsi hata ukimiliki range na vogue ila km nyumba huna sijui nakuonaje yani..thumb up mkuu..kikubwa cha kutambua ni kuwa ujenzi si wa siku moja..hata roma ilijengwa kwa miaka 40,mdogo mdogo ila kwa plan na mikakati inawezekana.
Unajua dirisha la aluminium complete haipungui kilo 3 una dilisha 11 mlango mzuri mninga 250000 ceiling gypsum kwa nyumba yako hyo makadilio M 3.5 tiles bado Mabomba mziki wake usikie tu bado shimo la Maji taka bado Fundi hajaimba cement name
Gypsum powder kaka hapo bado sana wiring nilisahau