breki sifungi
JF-Expert Member
- Oct 15, 2014
- 694
- 409
hv hili jukwaa limejaa wahaya? maana kila anae changia anaeleza uwezo wake kifedha as if ana bonge la roshen, du mnatsha
Jamani mimi nina kiwanja Kigamboni maeneo ya Kisota si kikubwa na najuta kwa nini nilikinunua miaka 5 iliyopita kina ukubwa wa SQM 610
nishaurini naweza kujenganini? Maana nilidhani bora kujenga walau kijigorofa kwenda juu kama gorofa mbili hivi maana chini naona space ndogo
Niko tayari kikuza ili nikajenge shamba nje ya Dar lakini kwanza nishaurini
Ningejua kisota ni umbali gani kutoka ferry, ningekushauri vizuri.
Kama sio mbali sana kutoka ferry, jenga apartments (low cost housing) either upangishe au uziuze..
By bwegebwege Kwa kukupa picha kidogo:
Mimi nina ongoing project, imefika kwenye linter, (Nyumba ya kawaida): 1 Masterbedroom moja, 1 Guest Room with attached toilet, 2 other Bedrooms, Study room 1, Laundry, Kitchen, Public Toilet & Bath, Dinning Room na Sitting Room...hadi sasa tayari $65,000 zimekatika! I just received estimates ya kupauwa (Kwa bati pana) ni kama $18,000..hapo ni mbao, mabati na ufundi etc. Sasa nikianza kufikiria finishing nahaisi nitapaswa kuwa na kama $30,000 nyingine (total kuanzia kuezeka)! Hapo sijaweka hesabu ya fence.....
Kwa mantiki hiyo bosi waliosema uwe na kama 100,000,000/= kwa uchache hawajakosea (ingawa mimi nashauri uwe na kama 160,000,000/=
Daaaah! mkuu hizi gharama ni kweli unajenga wewe au unaondolea watu umaskini? These costs are not realistic kabisa! Utafanya watu waogope kujenga aisee, hebu zione mwenyewe kwa hela zetu za bongo:
Fanya rate yetu ni 1600Tsh and here we go:
Imefika kwenye lental cost ni $ 65,000 x 1600 = 104,000,000/=??????????????????????????????????
Kupauwa umeambiwa cost ni $ 18,000 x 1600 = 28,800,000/=
Finishing unakadria cost ni $ 30,000 x 1600 = 48,000,000/=
Total cost bila kuweka wastage etc................... 180,800,0000/=.....??????????????
My take: Hii nyumba naiona ya maajabu, kama umempa mkandarasi ndo anajenga sina ubishi kwa hilo maana najua wapi alipokupiga na unaweza kuongea naye akaimalizia yeye kisha wewe ukamlipa tu pesa ya kupauwa na finishing nyumba ikiwa imekamilika. Kama mtoto wa mjombako ndo anasimamia na kufanya manunuzi yote hongera zako kwa kumwondoa katika njaa. LAZIMA ANUNUE NOAH GHAFLA BIN VUU na......!!
Otherwise unaleta masikhara humu jf kwa kujenga boma kwa 104M kwa nyumba yenye details uloandika hapa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Wana jf mna uwezo wa kujenga nyumba bila tatizo, ila mkiendekeza complications za humu mtazeeka bila kuwa na nyumba hata kidogo. mambo ya kufanya ni haya:
1. NUNUA KIWANJA NA PATA HATI ZOTE
2. PATA MCHORO WA NYUMBA UNAYOITAKA NA ANDALIWA BOQ. KAMA HUWEZI KUITAFSIRI WAAMBIE WAKUTAFSIRIE.
mfano: conc C20, 20M[SUP]3[/SUP]Utahitaji Tripu ngapi za Kokoto, mchanga,mifuko ya cement mingapi n.k.(kubali gharama za watafsiri, QS,Civil Engineers,Technicians wanaweza kufanya hiyo kazi)
3. Anza kazi kwa namna unayotaka.(Ukifanya hivi ujuwe unasimamia mwenyewe au mkeo maana unapilot tayari)
Wadau,
Mimi ni mpya hapa na ninahitaji msaada wenu. Nina Sh 28m na nataka kujenga nyumba Kibada Kigamboni. Kiwanja kipo, plan ya nyumba ninayo.
Ukubwa wa nyumba ni 120 sqm
Vyumba vya kulala: 3
Public toilet: 1
Bathroom for inmates: 1
Dining, sitting room and jiko pamoja: 1
Paa: ningependa iwe ya ubora mzuri ingawa pia sijui ni mabati ya aina gani.
Je, hii fedha itakidhi mahitaji ya kusimamisha hii nyumba?
Mhh kaka umeoa ukubwa niliokutajia?
eneo hili hapa ni kilimita 7 au 8 toka Ferry
Kiongozi sqm 610 ni kubwa.. Unaweza kujenga maghorofa mawili each sqm 240, three floors, each floor containing two units of two bedrooms, sitting room, kitchen and public toilet... Meaning sixteen families can live on that piece of land you call small.. Inbox me your email if you really want to develope that land.
Jamani mimi nina kiwanja Kigamboni maeneo ya Kisota si kikubwa na najuta kwa nini nilikinunua miaka 5 iliyopita kina ukubwa wa SQM 610
nishaurini naweza kujenganini? Maana nilidhani bora kujenga walau kijigorofa kwenda juu kama gorofa mbili hivi maana chini naona space ndogo.
Muhimu kwangu ni sehem ya kupaki gari. kibanda cha mlinzi lakini muhum zaidi uwanza wa nyumba uwe mrefu kwani nyuma ndio naweza kufanya shughuli zenye kuhitaji space
Niko tayari kikuza ili nikajenge shamba nje ya Dar lakini kwanza nishaurini
kibari ni muhimu mkuu unaenda na structure drawings zako kwenye office za wilaya ,
Sawa mkuu kwa hiyo hao si watahitaji na kampuni ya ujenz au?
kibari ni muhimu mkuu unaenda na structure drawings zako kwenye office za wilaya ,