AmKATRINA
JF-Expert Member
- Jul 27, 2012
- 414
- 366
Me Ke.
Vp,jina hli uliliona wapi?
Acha ubishi....hapa sisi ndio wazawa............sema jinsia yako tujue namna ya kukupokea
subiri ukaguliwe kwanza! ODM unaahirisha mtoko au??Me ni Ke niliyefiti kila idara.
Haya nipokeeni.
Ahaaa mambo si ndo hayo bana nimeona bandiko lako la kutafuta mchumba:
Mimi nimefit vigezo kasoro moja tu........mwembamba kama chelewa......are yu interested?
Mbona unatumia sauti kali....hebu niambie kwa sauti nyororo na miye nitalifuta usijali
na wakianza upekuzi sasa! lol, wanapekua hadi nywele! muite basi mjukuu mpya akusalimie, lol!
Khaaaaa! Aisee nilenge ya kifuani asee. kuliko kuachia hii murembo BADILI TABIA.
Mbona unatumia sauti kali....hebu niambie kwa sauti nyororo na miye nitalifuta usijali
unakunywa kinywaji gani ummu kulthum? mbona sa bado upo ndani ya neti? nilijua ushabadili mandhari khaaaaa!
BADILI TABIA, we mithd u, mpaka nikakuulizia kha? lol! nakwambia kuna mtu huyo, ana shepu ya pilipili hoho, ndio haswaaaaaa kamuudhi hubby wetu! namsomea albadil hapa tayari! miguu imnyooke ka tubelights, na atapike bahari, nonstop!Mwaaa my sugar wife material. Muulize mke mwenza cacico akuambie mbaya wangu ambaye ni mbaya wenu pia. BTW ulikuwa wapi muda wote?