Mimi ODM... Nitoke na nani leo??

kwa kweli ungenifananisha naye ningejiona matawi! maana hii shepu ya pilipili hoho, sijui nani yu ataka kuiona, ila hubby Asprin hana shida, ye kajizoelea! haya shem tutaongea, tutapanga, itabidi tunong'one hubby asisikie! kwani mkeo gfsonwin yupo wapi?? mbona simsomi?


shshshshshshs gfsonwin mu]y sweetwife anamtafuta dogo ron m, ambaye kama unakumbuka nilimtuma kwako akuletee kale kabahasha kwa siri....umenisoma eeh shem cacico....so usiwe na wasi wasi
 
Last edited by a moderator:
shshshshshshs gfsonwin mu]y sweetwife anamtafuta dogo ron m, ambaye kama unakumbuka nilimtuma kwako akuletee kale kabahasha kwa siri....umenisoma eeh shem cacico....so usiwe na wasi wasi
mmmhhhh labda kapeleka kwa rama au zoka TISS, maana kwangu haujafika huo mzigo! ulikuwa unaogopa ODM atakung'oa macho kwa plaiz, nasikia msangi, rama na zoka, wamesema sasa hivi hwang'oi tena kucha wala meno! watang'oa macho, ulimi ili usiwataje tena, kwa plaiz! lol!
 
mmmhhhh labda kapeleka kwa rama au zoka TISS, maana kwangu haujafika huo mzigo! ulikuwa unaogopa ODM atakung'oa macho kwa plaiz, nasikia msangi, rama na zoka, wamesema sasa hivi hwang'oi tena kucha wala meno! watang'oa macho, ulimi ili usiwataje tena, kwa plaiz! lol!

Usiombee hayo kwangu please
 
Tena nshakuandalia platozoom akupe kampani. Usiogope manyoya, ugopa UKIMWI


attachment.php

hahahaha! Mi namtaka Mentor, huyo platozoom anatisha.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom