Wapi iliandikwa mtu wa umri huo ni lazima awe na mchumba
ofcourse ni ngumu kwa umri huo mtu kuwa single,i guess tunatakawiwa kutumia/angetumia neno aliye kwenye complicated relationship,tungejitokeza wengi
All the bestMimi ni msichana,umri wangu ni miaka 25,nafanya kazi shirika binafsi, elimu yangu ni chuo kikuu, natafuta mchumba sijagui kabila wala rangi,awe na umri kuanzia miaka 28-33,elimu chuo kikuu,pm please
I cant wait,right away ma'amWewe jitokeze kwangu
Naona rubii amekuja na Id mpya.Mimi ni msichana,umri wangu ni miaka 25,nafanya kazi shirika binafsi, elimu yangu ni chuo kikuu, natafuta mchumba sijagui kabila wala rangi,awe na umri kuanzia miaka 28-33,elimu chuo kikuu,pm please
Hahaha...sikuwa nimeiona hii, inanihusu aisee, sa inamaanisha hatuwezi date enh? maana tiari uko na perception kwamba LAZIMA niko na mchumba.28 -33 mwanaume aliyesingle hana mchumba?? jihadhari nae atakua na matatizo uyo
Mimi ni msichana,umri wangu ni miaka 25,nafanya kazi shirika binafsi, elimu yangu ni chuo kikuu, natafuta mchumba sijagui kabila wala rangi,awe na umri kuanzia miaka 28-33,elimu chuo kikuu,pm please
By the way no guy is single or virgin by his choise..jitokezen mmpatie hiyo pus*y destruction machineAcha kudanganya kuna wengine hatuna na hatuna matatizo yoyote. Ishu ni muda tu wa kuamua kuwa nae
Ukisikia kwiyyoooo ujue kesha liwa.....Mimi ni msichana,umri wangu ni miaka 25,nafanya kazi shirika binafsi, elimu yangu ni chuo kikuu, natafuta mchumba sijagui kabila wala rangi,awe na umri kuanzia miaka 28-33,elimu chuo kikuu,pm please
weka picha kwanza tukuone isije ikawa una sura ya chuo kikuu!