Raimundo
JF-Expert Member
- May 23, 2009
- 13,416
- 12,604
Miezi 4? mie mwaka mzima
Noma, hapo lazima bikra ilirudi kidogo
Miezi 4? mie mwaka mzima
Duuh!! Saivi vigezo kila mahali... Hapo na mahari shingap ili tujipange kabisaaMimi ni msichana,umri wangu ni miaka 25,nafanya kazi shirika binafsi, elimu yangu ni chuo kikuu, natafuta mchumba sijagui kabila wala rangi,awe na umri kuanzia miaka 28-33,elimu chuo kikuu,pm please
Noma, hapo lazima bikra ilirudi kidogo
Ha ha ha a ilirudi akaitoa muuza vifuniko vya asali
Ha ha ha, jana nimemwona Kaboom usiku usiku anatafuta dawa ya mapenzi.
Una swali kuhusu uchawi na uganga? Uliza ujibiwe
Jipange kurogwa, kashindwa kushusha mistari
Mmmmmh mwanaume miaka 30 huna hata girlfriend
Wewe huchukuliaje bf na gf? Mi naona kuwa hiyo ni idara ya kusaidiana tu yaani kupunguziana mate yasijeleta athari kwenye miili yao.
Ndo maana wenyewe huvaa kinga kila wakutamapo kusije tokea makandokando ya kibahati mbaya hivi ikawa taabu.
Bf au Gf akiona vipi hujiunga na mwingine aliye tiyari kuoa.
Kwani mipaka ya umri wa kuoa kwa wanaume ni miaka mingapi?Yeye anataka mchumba haijalishi ni mzoefu au mgeni wa mapenzi,ila cha kumshauri atafute mume na siyo mchumba maana mchumba anaweza kuwa yoyote hata kama amekidhi vigezo vyake ila mume ni mmoja tu!Kwa hivyo take care kama keli unamaanisha kweli!Mungu akupe mume mwema.
Mmmmmh mwanaume miaka 30 huna hata girlfriend
Mimi nina vigezo vyote ivyo ila nakupa kaz kidogo nifate inboxMimi ni msichana,umri wangu ni miaka 25,nafanya kazi shirika binafsi, elimu yangu ni chuo kikuu, natafuta mchumba sijagui kabila wala rangi,awe na umri kuanzia miaka 28-33,elimu chuo kikuu,pm please
Ndio 35yrs niliachana na gf zaidi ya 2yrs, sina tatizo" ni maamuzi tu.