rubii
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 13,167
- 16,423
Teh! natamani bibie aje aone unavyomkana hapa
Teh! natamani bibie aje aone unavyomkana hapa
I aint lying, na siku nampata yule atakayenifanya moyo wangu udunde mara mbili ya kawaida na kunipa udomo zege wa muda...sitochukua miezi sita!
Kwahiyo dini yako inaruhusu uzinzi? Hivi nyege zako unataka kuzigeneralise? Yani badala ya kumtunzia mumeo hiyo papuchi unaigawa tu ili ukija kuolewa iwe tasteless?Samahani mkuu mie sijakutaja wewe lakini! kwahiyo huna hatagirlfriend?? ni tatizo
Kwan ww rubii una miaka mingap?inaelekea ushadanganywa sana ad dk hii mbinu zote ushaexperience mtu anaweza kuwa single kwavle labda aliye nae walishaachanaNdo matatizo yenyewe hayo! mwanaume anaejielewa miaka 30 hapotezi mda na kuzugazuga atakua anatabia za kivulana
Kwahiyo dini yako inaruhusu uzinzi? Hivi nyege zako unataka kuzigeneralise? Yani badala ya kumtunzia mumeo hiyo papuchi unaigawa tu ili ukija kuolewa iwe tasteless?
IKIFIKA AM NTARUDI.............Mimi ni msichana,umri wangu ni miaka 25,nafanya kazi shirika binafsi, elimu yangu ni chuo kikuu, natafuta mchumba sijagui kabila wala rangi,awe na umri kuanzia miaka 28-33,elimu chuo kikuu,pm please
kuna ukwel28 -33 mwanaume aliyesingle hana mchumba?? jihadhari nae atakua na matatizo uyo
nina miaka 30 sina girlfriend .... kwani ni lazima!? acha imani potofuMmmmmh mwanaume miaka 30 huna hata girlfriend
Kwani wewe una boyfriend rubii, mm nikikuwa nalia timing!!! hahahaaaa.Samahani mkuu mie sijakutaja wewe lakini! kwahiyo huna hatagirlfriend?? ni tatizo
Vipi ushapataa. Mi midato cha nne ila Nina kiwanda changu cha misumariMimi ni msichana,umri wangu ni miaka 25,nafanya kazi shirika binafsi, elimu yangu ni chuo kikuu, natafuta mchumba sijagui kabila wala rangi,awe na umri kuanzia miaka 28-33,elimu chuo kikuu,pm please