Upendo Umoja
Member
- Mar 9, 2024
- 15
- 12
Mimi natafuta mchumba ambaye baadaye atakuwa mke wangu . Sifa zake.
1. Asiwe na tatizo la kiafya la kudumu.
2. Awe amemaliza la Saba au sekondari au chuo au chuo kikuu.
3. Awe amejiajiri mwenyewe, au ameajiriwa, au awe anaendesha miradi yake mwenyewe.
4. Awe anahofu ya Mungu.
5. Awe mkristo, na awetayari kumuhubiri Kristo
6. Awe na mtoto au watoto au asiwe nao.
7. Umri kuanzia miaka 30 Hadi 40.
8. Awe mpenda maendeleo.
Mimi niko Dar . Ni Pm.
1. Asiwe na tatizo la kiafya la kudumu.
2. Awe amemaliza la Saba au sekondari au chuo au chuo kikuu.
3. Awe amejiajiri mwenyewe, au ameajiriwa, au awe anaendesha miradi yake mwenyewe.
4. Awe anahofu ya Mungu.
5. Awe mkristo, na awetayari kumuhubiri Kristo
6. Awe na mtoto au watoto au asiwe nao.
7. Umri kuanzia miaka 30 Hadi 40.
8. Awe mpenda maendeleo.
Mimi niko Dar . Ni Pm.