Natafuta mchumba

issac77

JF-Expert Member
Apr 26, 2013
2,956
4,782
Mimi ni kijana wa makamo umri miaka 32, elimu yangu std 7, kazi mjasiriamali, natafuta mchumba ambae hatiaye awe mke wangu.

Umri 22~27, elimu itapendeza asivuke form 4, dini/kabila lolote, hata akiwa na mtoto ni sawa.

Mwenye yupo tayari karibu PM tuianze safari.
 
Mimi ni kijana wa makamo umri miaka 32, elimu yangu std 7, kazi mjasiliamali,

Natafuta mchumba ambae hatiae awe mke wangu. Umri 22~27 , elimu itapendeza asivuke 4m4, dini/kabila lolote, hata akiwa na mtoto ni sawa

Mwenye yupo tayari karibu pm tuianze safari
Hili bandiko mbona lina ukakasi?
Dini yoyote sawa! Hata akiwa mtoto sawa! Hata akiwa mwanafunzi sawa!
Inaonekana hujakonaa kiakili kuoa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom