"Mimi Naogopa Sana Mume wa Mtu"...

Mtoboasiri

JF-Expert Member
Aug 6, 2009
5,101
1,948
.....sentensi nimekuwa naisikia sana kutoka kwa kina dada walio single. Funny enough, kuna kina dada wapatao watatu niliowahi kuwasikia kwa masikio yangu (nafanya nao kazi) wakitoa kauli kama hii lakini eventually wamezaa na waume wa watu (of course sio kwa wakati mmoja na si na mume mmoja but over a period of four years).

Kuanzia jumatatu ya wiki hii nimekuwa nafukuzia kupewa assignment fulani na taasisi fulani. My contact kwenye hiyo taasisi ni mdada mmoja mrembo kweli ila hajaolewa. Nilimualika kula pizza pale Piccasso - wanaoifahamu Arusha wanaifahamu ilipo - jana jioni ili kujenga mazingira ya mimi kupata hicho ninachokitafuta (mwenye influence na maamuzi ni immediate boss wa huyo dada). Tulikula pizza na kuongea vitu viwili vitatu - social na professional - na kauli ya "kuogopa sana mume wa mtu" ika-crop up. Baada ya mlo kila mtu akachukua time. Mchana huu nikapata sms kutoka kwake akiniuliza: "Umeoa? Mimi naogopa sana mume wa mtu and I want us to be careful if you are married".

Au mimi sielewi maana ya "kuogopa sana mume wa mtu"?

JUST THINKING ALOUD!
 
Kamanda huyo kesha kutaka hivo.Hiyo sms yake wala usiijibu kikamilifu...just tell her..'hahahaha tukionana nitakueleza',just to keep her interest alive,mkionana baada ya glass mbili za wine anza kumwonyesha huzuni jinsi mkeo anavyokusumbua na kukufanya utamani uhame inji,mweleze unavyojuta kuoa,mwambie mnalala different bedrooms,atalainika tu na ataanza ku feel sympathy,e bana e hata akitaka ahadi ya ndoa we mpe tu,akikuuliza ...'are you ready to dump mama kayai for me?',we kubali tu mradi ulambe mzigo,mengine atajijua huko mbele ya safari kudadadeki.
 
Kamanda huyo kesha kutaka hivo.Hiyo sms yake wala usiijibu kikamilifu...just tell her..'hahahaha tukionana nitakueleza',just to keep her interest alive,mkionana baada ya glass mbili za wine anza kumwonyesha huzuni jinsi mkeo anavyokusumbua na kukufanya utamani uhame inji,mweleze unavyojuta kuoa,mwambie mnalala different bedrooms,atalainika tu na ataanza ku feel sympathy,e bana e hata akitaka ahadi ya ndoa we mpe tu,akikuuliza ...'are you ready to dump mama kayai for me?',we kubali tu mradi ulambe mzigo,mengine atajijua huko mbele ya safari kudadadeki.
Nilijua tu kwenye hii thread lazima utakuwa wa kwanza kupost...:lol::lol::lol:
 
Kamanda huyo kesha kutaka hivo.Hiyo sms yake wala usiijibu kikamilifu...just tell her..'hahahaha tukionana nitakueleza',just to keep her interest alive,mkionana baada ya glass mbili za wine anza kumwonyesha huzuni jinsi mkeo anavyokusumbua na kukufanya utamani uhame inji,mweleze unavyojuta kuoa,mwambie mnalala different bedrooms,atalainika tu na ataanza ku feel sympathy,e bana e hata akitaka ahadi ya ndoa we mpe tu,akikuuliza ...'are you ready to dump mama kayai for me?',we kubali tu mradi ulambe mzigo,mengine atajijua huko mbele ya safari kudadadeki.
Du wewe kwa kamba ni kiboko!.
 
Nani kakuambia wanaogopa waume za watu, hao ndo wanawataifisha kabisa.

Vipi yule cashier wa piccasso naongelea yule mrangi bado yupo? kama yupo masalimie sana mwambie fazaa anasema hello ka miss pizza, atanijua tu.
 
Kamanda huyo kesha kutaka hivo.Hiyo sms yake wala usiijibu kikamilifu...just tell her..'hahahaha tukionana nitakueleza',just to keep her interest alive,mkionana baada ya glass mbili za wine anza kumwonyesha huzuni jinsi mkeo anavyokusumbua na kukufanya utamani uhame inji,mweleze unavyojuta kuoa,mwambie mnalala different bedrooms,atalainika tu na ataanza ku feel sympathy,e bana e hata akitaka ahadi ya ndoa we mpe tu,akikuuliza ...'are you ready to dump mama kayai for me?',we kubali tu mradi ulambe mzigo,mengine atajijua huko mbele ya safari kudadadeki.

Michael Scofield likes this
 
Kamanda huyo kesha kutaka hivo.Hiyo sms yake wala usiijibu kikamilifu...just tell her..'hahahaha tukionana nitakueleza',just to keep her interest alive,mkionana baada ya glass mbili za wine anza kumwonyesha huzuni jinsi mkeo anavyokusumbua na kukufanya utamani uhame inji,mweleze unavyojuta kuoa,mwambie mnalala different bedrooms,atalainika tu na ataanza ku feel sympathy,e bana e hata akitaka ahadi ya ndoa we mpe tu,akikuuliza ...'are you ready to dump mama kayai for me?',we kubali tu mradi ulambe mzigo,mengine atajijua huko mbele ya safari kudadadeki.

Mkuu Bishanga, kuna vitu hajaribiwi ati! One may end up being enslaved!
 
..... Mchana huu nikapata sms kutoka kwake akiniuliza: "Umeoa? Mimi naogopa sana mume wa mtu and I want us to be careful if you are married".

huyu sasa mbona kishaingia mwenyewe kwenye 18 zako? yaani hapo ni sawa na kumsukuma mlevi tu
 
Mzingue mpaka ule mzigo man we kama mkali kwani umwachie akatize piga halafu mwambie ukweli utaona kama hajakwambia muendelee kwa siri
 
Kamanda huyo kesha kutaka hivo.Hiyo sms yake wala usiijibu kikamilifu...just tell her..'hahahaha tukionana nitakueleza',just to keep her interest alive,mkionana baada ya glass mbili za wine anza kumwonyesha huzuni jinsi mkeo anavyokusumbua na kukufanya utamani uhame inji,mweleze unavyojuta kuoa,mwambie mnalala different bedrooms,atalainika tu na ataanza ku feel sympathy,e bana e hata akitaka ahadi ya ndoa we mpe tu,akikuuliza ...'are you ready to dump mama kayai for me?',we kubali tu mradi ulambe mzigo,mengine atajijua huko mbele ya safari kudadadeki.

hahahahaha Khaaaa Bashaija
 
Mkuu fuatilia kazi kwanza. ukishaipata ndo umpe zawadi ya ushindi. Huyo ni kuku wako usiwe na haraka naye wala nini. Lakini angalia mkeo asijue kama umeanza kutolea macho wasichana wa nje. Hata ukimchoma heshima ndani ya ndoa ibaki pale pale hata akikukatania mauno vipi.
 
Kuogopa hapo haimaanishi kutotaka. Kama ni mumu wa mtu basi she has to be extra careful.

Aweze kuku kula at the same time kwa siiiiiri sana.

Maisha ya Arusha mie nayaelewa. Veeeeery intricate. Na mji wenyewe sio secretive. Lakini wanawake wa huko ni veeeeery sexy. Mfurahishe nae atakufurahisha. TUMIA SAFE SEX.
 
Kuogopa hapo haimaanishi kutotaka. Kama ni mumu wa mtu basi she has to be extra careful.

Aweze kuku kula at the same time kwa siiiiiri sana.

Maisha ya Arusha mie nayaelewa. Veeeeery intricate. Na mji wenyewe sio secretive. Lakini wanawake wa huko ni veeeeery sexy. Mfurahishe nae atakufurahisha. TUMIA SAFE SEX.

Now, why didn't I think about this before? You must be a genius!
 
Back
Top Bottom