Mpatanishi
JF-Expert Member
- Jul 1, 2011
- 1,810
- 623
ya tatu
k. Ikifika ya pili niambie.
ya tatu
k. Ikifika ya pili niambie.
Mmmh... 'k' tena?? Afu ya pili?? Ngoja nilale tu...
Maperaa X 2.. Mama kapika maperaa nakifaranga chakuku, tia hapa tia hapa( hapo unaonesha upande wa kushoto na kulia wa kiuno) kama utaki niambie, nikae chini nil.....
Mmmh... 'k' tena?? Afu ya pili?? Ngoja nilale tu...
namsaka mke wangu namsaka mke wangu,hapa hayupo hapa hayupo,kaenda wapi kaenda wapi,kaenda kusuka kaenda kusuka,chanuo kampa nani, chanuo kampa nani,kampa msusi kampa msusi......
hadi leo sijui kama huu wimbo ulikuwa ni fumbo la mambo ya ndoa ama vipi?
Jua lile literemke mama haiya iya iya iya mama * 2
nyota nazo ziteremke mama haiya iya iya iya iya mama *2
hii tulikuwa tunakimbia mchaka mchaka shuleni ndio tunaimba.
ukuti ukuti wa meme wa meme,mwenzetu mwenzetu,kagongwa kagongwa,na nini na nini,na gari na gari,tumpelele mnazi mmoja,asiende kusema kwa mama yake..
hivi leo ukikimbizwa utakimbia futi ngapi?
yesa yesa yesa yeeee
mbona kila wimbo/mchezo nilioucheza/imba unaujua?hivi hadi leo hizi nyimbo watoto wa siku hizi wanziimba?tulikuwa kitaa kimoja nini?inawezekana nilikuwa baba ulikuwa mama(kibaba/kimama)lol
nakimbia sana asubuhi sio chini ya 5km . Siku Nisipokimbia ntakuwa mlegevu siku nzima . Hata JF siwezi kuja.
upane wa kwanza: ''mwaanangu ee..''
upande wa pili: ''eee''
upane wa kwanza: ''mimi baba yenu''
upande wa pili: ''eee''
upane wa kwanza: ''sina nguvu tena''
upande wa pili: ''eee''
upane wa kwanza: ''..ya kuua simba...''
.............................................
sorry nimesahau, huu sio wimbo ni michezo ya utotoni.