bucho
JF-Expert Member
- Jul 13, 2010
- 5,113
- 3,116
uje tukimbie wote yani wewe kama mimi vile
aaah kumbe na wewe ni mtu wa tizi ? Poa ila wewe upo mwanza na mimi nipo mbali . Labda tuwe tunaamshana asubuhi kwa pm ili tusipitiwe na usingizi.
uje tukimbie wote yani wewe kama mimi vile
Tulinge bayooo x2
Tunamuomba kaba kabana aingie kati atuonyeshe maringo yake bingili bingili mpaka chini!
aaah kumbe na wewe ni mtu wa tizi ? Poa ila wewe upo mwanza na mimi nipo mbali . Labda tuwe tunaamshana asubuhi kwa pm ili tusipitiwe na usingizi.
Sio kuringa tu,ni mwendo wa kukata viuno mbaya!!!hapo mwenyeewe naringa kweeli na madoido kibao.
Watoto wa siku hizi waliozaliwa kipindi cha jakaya wenyewe wamejikita kwenye bongo fleva za akina diamond na ali kiba. Sidhani kama wanapata ladha tulioipata sisi
Nakumbuka mimbo tuliyokuwa tunaimba tukiwa watoto halafu natabasamu mwenyewe Kama huu
sandakalawe amina,mwenye kupata apate,kipapatio cha kuku,kuku gani?mweupe,analiaje?kwiii kwiii
wewe unakumbuka upi?either wa shuleni au mtaani?
hapo kwenye red nimekoma mwenyewe...usingezijua hivyo hizi nyimbo...anyways inawezekana nyimbo hizi ni common tanzania nzimahehe mimi nilikulia huko nyamokisingo kanda za kati kusini na wewe je?
Watoto wa siku hizi wanaimba shakira shakira
Ukuti ukuti
Wameme Wameme
Wamwisho akamatwe
Atiwe gerezani.
-Halafu kuna ule wa
Kula mbakishie baba ukiangusha kijiti unakula kipigo hadi ukimbilie ushike mti ndipo uachwe
Sio kuringa tu,ni mwendo wa kukata viuno mbaya!!!
Unashuka mpaka chini dah!ilikua raha sana aisee!
Ukuti ukuti
Wameme Wameme
Wamwisho akamatwe
Atiwe gerezani.
-Halafu kuna ule wa
Kula mbakishie baba ukiangusha kijiti unakula kipigo hadi ukimbilie ushike mti ndipo uachwe
Kabakabana! Kwa nini hukuifanyia editing title ya thread yako? Niliisoma kama Mimba za utotoni, halafu niliposoma maelezo yake nikagundua ni nyimbo za utotoni, ingawa hukuandika hivyo. Mimi hata moja sikumbuki. Wacheki hawa wafuatao wanakumbuka vizuri kwa sababu bado yankee sana.
1,Radhia Sweety
2.Golden Mpoleee
3.Smile
4.Kipipi
eti kuamshana kwa PM hehe,kwani wewe uko api?
hapo kwenye red nimekoma mwenyewe...usingezijua hivyo hizi nyimbo...anyways inawezekana nyimbo hizi ni common tanzania nzima
kaka usinikumbushe bong'oa,..mtu anadondosha shilingi makusudi ukiinama kuiokota bonge la shuti mat*ko...
1.aamina,amina kadara,sinoowela,amina dumpepee,amina magerezaa,magereza,amina tush,tush,tush,tush,kama dada wanipenda, kaninunulie zeze,nikilala kitandani, zeze lanibembeleza..
2.by short i love you baby.....(huu wimbo hadi leo sijui kama unaimbwa wote kwa kiswahili au kidhungu maana tulivyokuwa tunaimba ni soo!!)
mi nipo huku kandahar .
Nani anakumbuka hii ?
Maua mazuri yapendeza * 2
ukiyatazama yanameremeta hakuna limoja lisilo pendeza * 2 Nzu nzu nzu eeh mama nyukilia we .