Mimbo ya utotoni

Kabakabana

JF-Expert Member
Aug 5, 2011
5,551
1,159
Watoto wa siku hizi waliozaliwa kipindi cha jakaya wenyewe wamejikita kwenye bongo fleva za akina diamond na ali kiba. Sidhani kama wanapata ladha tulioipata sisi
Nakumbuka mimbo tuliyokuwa tunaimba tukiwa watoto halafu natabasamu mwenyewe Kama huu
sandakalawe amina,mwenye kupata apate,kipapatio cha kuku,kuku gani?mweupe,analiaje?kwiii kwiii
wewe unakumbuka upi?either wa shuleni au mtaani?
 
Back
Top Bottom