Kabakabana
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 5,551
- 1,160
- Thread starter
- #41
hiyo nimeimba kwenye shule yangu ya kata niliyosoma.
hehe haya na mwingine tena?
hiyo nimeimba kwenye shule yangu ya kata niliyosoma.
hehe haya na mwingine tena?
yeye ndo ungo wenyewe lol
zipo kibao ila nimezisahau,ila kuna rangi chungwa,kasuku,hizi zilitamba sana,ila nyimbo ambazo watoto waliziimba sikumbuki
bilinge baiyoyo*4
tunamuomba dada husninyo aje hapa atuoneshe mauno yake.... Bingili bingil mpaka chini.
sisemi mpaka unibembelezekwani wewe hukuwahi kuwa mtoto?uliimba nini? Seema baasi
wow! Swadakta sasa hv niletee bibie ai kanti weiti anemoa lol
sisemi mpaka unibembeleze
sisemi mpaka unibembeleze
ndio ndio kaka. Nilitaka nimseme wifi, anaongeaje na wewe sauti nzito na macho makavu hivyo! Lol.
Mbaki salama wapenzi wangu. Mchombezane kwa step eeh!
huyu nae mzito kweli sijui anapaa kwa mafuta ya bata?
Mbaki salama wapenzi wangu. Mchombezane kwa step eeh!
haaah haaah nitakulindia wifiyo lol.
khaaaah. Au hujui kum drive lol
mmhhh haya nilinde basi
sekunde kumi nyingi atakuwa keshafika
mpaka sasa sekunde ya ngapi??