MJUE PAULO MAKONDA
Paulo makonda ni mwanafunzi ambaye ukimwangalia kwa haraka unaweza kusema ni kijana makini,mzalendo na anayejua kuchambua siasa,
Ki uhalisia kijana huyu ni mtu anayejiona kuwa yeye ni mtu anayejua kuliko wengine na kusahau kuwa siasa inahitaji umakini wa kujenga hoja,uchambuzi wa kina katika nyanza zote.
Kijana huyu alianza masomo katika chuo cha ushirika akichukua shahada ya cooperatives management and accounting (CMA) MWAKA 2007/08 ambapo alidisco(kufeli).
Mwaka 2008/09 aliomba upya kusomea shahada ya community economic development BA CED) AMBAPO PIA HAKUMALIZA MWAKA wake wa masomo.
Mwaka 2009/10 ALIKUWA KATIBU MWENEZI WA CCJ,HUKU AKIWA ANAANDALIWA KUWA NAIBU KATIBU MKUU WA CCJ TAIFA CHINI YA USHAURI WA MH SAMWELI SITTA AMBAYE NI PS(PERSONAL SECRETARY) WAKE.
KIJANA HUYU MWENYE NDOTO YA KUGOMBEA UENYEKITI UVCCM TAIFA MWAKA 2013 NA MNEC CCM 2012 AMEENDELEA KUFADHILIWA NA NDESAMBURO,SITTA,MWAKYEMBE,SUMAYE,ALOYCE KIMARO,REGNALD MENGI,HAMAD MASAUNI,SHAMHUNA
KIJANA HUYU HUPENDA KUJITAMBULISHA KUWA YUPO IDARA YA USALAMA WA TAIFA.
Je ataweza kuwasaidia waliomtuma kama hao anaowashtumu uvccm? TAFAKARI.
MJUE PAULO MAKONDA
Paulo makonda ni mwanafunzi ambaye ukimwangalia kwa haraka unaweza kusema ni kijana makini,mzalendo na anayejua kuchambua siasa,
Ki uhalisia kijana huyu ni mtu anayejiona kuwa yeye ni mtu anayejua kuliko wengine na kusahau kuwa siasa inahitaji umakini wa kujenga hoja,uchambuzi wa kina katika nyanza zote.
Kijana huyu alianza masomo katika chuo cha ushirika akichukua shahada ya cooperatives management and accounting (CMA) MWAKA 2007/08 ambapo alidisco(kufeli).
Mwaka 2008/09 aliomba upya kusomea shahada ya community economic development BA CED) AMBAPO PIA HAKUMALIZA MWAKA wake wa masomo.
Mwaka 2009/10 ALIKUWA KATIBU MWENEZI WA CCJ,HUKU AKIWA ANAANDALIWA KUWA NAIBU KATIBU MKUU WA CCJ TAIFA CHINI YA USHAURI WA MH SAMWELI SITTA AMBAYE NI PS(PERSONAL SECRETARY) WAKE.
KIJANA HUYU MWENYE NDOTO YA KUGOMBEA UENYEKITI UVCCM TAIFA MWAKA 2013 NA MNEC CCM 2012 AMEENDELEA KUFADHILIWA NA NDESAMBURO,SITTA,MWAKYEMBE,SUMAYE,ALOYCE KIMARO,REGNALD MENGI,HAMAD MASAUNI,SHAMHUNA
KIJANA HUYU HUPENDA KUJITAMBULISHA KUWA YUPO IDARA YA USALAMA WA TAIFA.
Je ataweza kuwasaidia waliomtuma kama hao anaowashtumu uvccm? TAFAKARI.
Ukiona jambo linazungumziwa ujue Lina nafasi kwenye jamii. Hivi vyama vingine havina Umoja wa vijana? Tuache kulalama what matters here is CCM has strong structures you need to deal with in create your platform and structures otherwise it may take a while ...,,
MJUE PAULO MAKONDA
Paulo makonda ni mwanafunzi ambaye ukimwangalia kwa haraka unaweza kusema ni kijana makini,mzalendo na anayejua kuchambua siasa,
Ki uhalisia kijana huyu ni mtu anayejiona kuwa yeye ni mtu anayejua kuliko wengine na kusahau kuwa siasa inahitaji umakini wa kujenga hoja,uchambuzi wa kina katika nyanza zote.
Kijana huyu alianza masomo katika chuo cha ushirika akichukua shahada ya cooperatives management and accounting (CMA) MWAKA 2007/08 ambapo alidisco(kufeli).
Mwaka 2008/09 aliomba upya kusomea shahada ya community economic development BA CED) AMBAPO PIA HAKUMALIZA MWAKA wake wa masomo.
Mwaka 2009/10 ALIKUWA KATIBU MWENEZI WA CCJ,HUKU AKIWA ANAANDALIWA KUWA NAIBU KATIBU MKUU WA CCJ TAIFA CHINI YA USHAURI WA MH SAMWELI SITTA AMBAYE NI PS(PERSONAL SECRETARY) WAKE.
KIJANA HUYU MWENYE NDOTO YA KUGOMBEA UENYEKITI UVCCM TAIFA MWAKA 2013 NA MNEC CCM 2012 AMEENDELEA KUFADHILIWA NA NDESAMBURO,SITTA,MWAKYEMBE,SUMAYE,ALOYCE KIMARO,REGNALD MENGI,HAMAD MASAUNI,SHAMHUNA
KIJANA HUYU HUPENDA KUJITAMBULISHA KUWA YUPO IDARA YA USALAMA WA TAIFA.
Je ataweza kuwasaidia waliomtuma kama hao anaowashtumu uvccm? TAFAKARI.
Hapo kwenye RED:
Mbona anaoneka kuwa na wafadhili wengi sana na kutoka sehemu tofauti za Tanzania na vyama tofauti. Mkuu inabidi utujuze zaidi hasa mgombea mtarajiwa wa Uenyekiti na MNEC anapofadhiliwa na watu wavyama vingine!
Kwahiyo sasa hivi anasoma nini?
USHAURI
Tusiendelee kudhani wasomi ndiyo wenye kujua mambo ya siasa tu na ndiyo wenye kuelewa wapi Tz inatakiwa kwenda. Pima hoja zake katika hili!
Ngoja mi nseme kitu, paul makonda, 2lianza nae chuo 2007, mi nikiwa nachukua shahada ya ununuzi na ugavi, ila yey alichukua shahada ya menejiment ya ushirika na uhasibu. Ni kwel alidisco na akaomba kuanza upya tena shahada ya community economic devpt, na alipofika mwaka wa pili alipospond mwaka kwa ajili ya kampen za uchaguzi, sasa mambo niliyokuwa nayaona makubwa akifanya chuoni ni kama yafuatavyo, ni muumini mzur na mlokole na alishawah kumleta mh membe kweny tamasha la dini chuo na viongozi kadhaa wa ccm akiwamo mbunge aloyce kimaro, na kingine ni kweli 2kiwa chuo kuna tetesi zilikuwepo kwamba amehama ccm na kwenda ccj lakin ckuwa na uhakika kwamba yote haya ni kwa ufadhili wa mwakyembe na sita, tatu hilo la kusema anafadhiliwa na ndesamburo labda kwa upande wang nliona ck moja ambayo alimualika mheshimiwa ndesa pamoja na viongoz wengine kweny tamasha la mwalimu jk nyerere pala ushirika studium na ndipo mh ndesa alipo wafunika wagen wenzake kwa kuingia na chopper iliyofanya wa2 weng kumshangilia sana na viongoz wengine kuona kwamba wamedhalilishwa na kijana huyu na ndipo ulipoanza mtafaruku wa yey kutaka kuhamia ccj, hilo la mengi nalo cjui kwa upande wa wengine ila paul makonda kwa kushirikiana na rais wa kipind kile isaya katongo ambaye nae ni kiongoz wa ccm wali2andalia welcome freshers ambayo kwa upande wa vinywaji meng alifadhili kwa 100% na kupitia hawa mengi pia aliweza kufadhili mambo mengi, kingine nnachofahamu ni kwamba yey ndie aliyempigia debe isaya katongo kuwa raisi wa tahiliso. Mimi ni peoples power ila haya ndo nnayoyafahamu kuhusu paul makonda
MJUE PAULO MAKONDA
Paulo makonda ni mwanafunzi ambaye ukimwangalia kwa haraka unaweza kusema ni kijana makini,mzalendo na anayejua kuchambua siasa,
Ki uhalisia kijana huyu ni mtu anayejiona kuwa yeye ni mtu anayejua kuliko wengine na kusahau kuwa siasa inahitaji umakini wa kujenga hoja,uchambuzi wa kina katika nyanza zote.
Kijana huyu alianza masomo katika chuo cha ushirika akichukua shahada ya cooperatives management and accounting (CMA) MWAKA 2007/08 ambapo alidisco(kufeli).
Mwaka 2008/09 aliomba upya kusomea shahada ya community economic development BA CED) AMBAPO PIA HAKUMALIZA MWAKA wake wa masomo.
Mwaka 2009/10 ALIKUWA KATIBU MWENEZI WA CCJ,HUKU AKIWA ANAANDALIWA KUWA NAIBU KATIBU MKUU WA CCJ TAIFA CHINI YA USHAURI WA MH SAMWELI SITTA AMBAYE NI PS(PERSONAL SECRETARY) WAKE.
KIJANA HUYU MWENYE NDOTO YA KUGOMBEA UENYEKITI UVCCM TAIFA MWAKA 2013 NA MNEC CCM 2012 AMEENDELEA KUFADHILIWA NA NDESAMBURO,SITTA,MWAKYEMBE,SUMAYE,ALOYCE KIMARO,REGNALD MENGI,HAMAD MASAUNI,SHAMHUNA
KIJANA HUYU HUPENDA KUJITAMBULISHA KUWA YUPO IDARA YA USALAMA WA TAIFA.
Je ataweza kuwasaidia waliomtuma kama hao anaowashtumu uvccm? TAFAKARI.
nimepapenda hapo..huyu mshkaji ana point.wanachofanya uvccm ni utovu wa nidhamu,hata kama ni siasa lakini kujibishana na wazee wenye umri kama baba zao,kwakweli ni kukosa maadili