Migogoro ya ndani kwa ndani dhidi ya chama tawala

Ukiona jambo linazungumziwa ujue Lina nafasi kwenye jamii. Hivi vyama vingine havina Umoja wa vijana? Tuache kulalama what matters here is CCM has strong structures you need to deal with in create your platform and structures otherwise it may take a while ...,,

MJUE PAULO MAKONDA


Paulo makonda ni mwanafunzi ambaye ukimwangalia kwa haraka unaweza kusema ni kijana makini,mzalendo na anayejua kuchambua siasa,

Ki uhalisia kijana huyu ni mtu anayejiona kuwa yeye ni mtu anayejua kuliko wengine na kusahau kuwa siasa inahitaji umakini wa kujenga hoja,uchambuzi wa kina katika nyanza zote.

Kijana huyu alianza masomo katika chuo cha ushirika akichukua shahada ya cooperatives management and accounting (CMA) MWAKA 2007/08 ambapo alidisco(kufeli).

Mwaka 2008/09 aliomba upya kusomea shahada ya community economic development BA CED) AMBAPO PIA HAKUMALIZA MWAKA wake wa masomo.

Mwaka 2009/10 ALIKUWA KATIBU MWENEZI WA CCJ,HUKU AKIWA ANAANDALIWA KUWA NAIBU KATIBU MKUU WA CCJ TAIFA CHINI YA USHAURI WA MH SAMWELI SITTA AMBAYE NI PS(PERSONAL SECRETARY) WAKE.

KIJANA HUYU MWENYE NDOTO YA KUGOMBEA UENYEKITI UVCCM TAIFA MWAKA 2013 NA MNEC CCM 2012 AMEENDELEA KUFADHILIWA NA NDESAMBURO,SITTA,MWAKYEMBE,SUMAYE,ALOYCE KIMARO,REGNALD MENGI,HAMAD MASAUNI,SHAMHUNA

KIJANA HUYU HUPENDA KUJITAMBULISHA KUWA YUPO IDARA YA USALAMA WA TAIFA.

Je ataweza kuwasaidia waliomtuma kama hao anaowashtumu uvccm? TAFAKARI.
 
MJUE PAULO MAKONDA

Paulo makonda ni mwanafunzi ambaye ukimwangalia kwa haraka unaweza kusema ni kijana makini,mzalendo na anayejua kuchambua siasa,

Ki uhalisia kijana huyu ni mtu anayejiona kuwa yeye ni mtu anayejua kuliko wengine na kusahau kuwa siasa inahitaji umakini wa kujenga hoja,uchambuzi wa kina katika nyanza zote.

Kijana huyu alianza masomo katika chuo cha ushirika akichukua shahada ya cooperatives management and accounting (CMA) MWAKA 2007/08 ambapo alidisco(kufeli).

Mwaka 2008/09 aliomba upya kusomea shahada ya community economic development BA CED) AMBAPO PIA HAKUMALIZA MWAKA wake wa masomo.

Mwaka 2009/10 ALIKUWA KATIBU MWENEZI WA CCJ,HUKU AKIWA ANAANDALIWA KUWA NAIBU KATIBU MKUU WA CCJ TAIFA CHINI YA USHAURI WA MH SAMWELI SITTA AMBAYE NI PS(PERSONAL SECRETARY) WAKE.

KIJANA HUYU MWENYE NDOTO YA KUGOMBEA UENYEKITI UVCCM TAIFA MWAKA 2013 NA MNEC CCM 2012 AMEENDELEA KUFADHILIWA NA NDESAMBURO,SITTA,MWAKYEMBE,SUMAYE,ALOYCE KIMARO,REGNALD MENGI,HAMAD MASAUNI,SHAMHUNA

KIJANA HUYU HUPENDA KUJITAMBULISHA KUWA YUPO IDARA YA USALAMA WA TAIFA.

Je ataweza kuwasaidia waliomtuma kama hao anaowashtumu uvccm? TAFAKARI.
 
ungekuja na sources (vyanzo vya taarifa yako) au vithibitisho kuhalalisha hayo uliyaandika..
 
Wewe mwantangavale unaonekana umetumwa na mafisadi. Kwa nini umeibua haya leo? Utuambie na wewe hizi habari umepata wapi?
 
Kwanza mimi nina shaka wewe ni riz1 kwanini hauappreciate ujasiri wa kijana huyu? Badala yake unapresent ile weak side tu ya huyu gentleman? Sina shaka kabisa umetumwa.
 
:lol:mad:mwantavangale Ayo ni majungu na ww ni mmoja wa watetezi wa mafisadi mbona ukilizungumza ili mapema mpaka ameanza kusema ukweli. ccm mnajimaliza wenye good bye:lol::lol:
 
MJUE PAULO MAKONDA

Paulo makonda ni mwanafunzi ambaye ukimwangalia kwa haraka unaweza kusema ni kijana makini,mzalendo na anayejua kuchambua siasa,

Ki uhalisia kijana huyu ni mtu anayejiona kuwa yeye ni mtu anayejua kuliko wengine na kusahau kuwa siasa inahitaji umakini wa kujenga hoja,uchambuzi wa kina katika nyanza zote.

Kijana huyu alianza masomo katika chuo cha ushirika akichukua shahada ya cooperatives management and accounting (CMA) MWAKA 2007/08 ambapo alidisco(kufeli).

Mwaka 2008/09 aliomba upya kusomea shahada ya community economic development BA CED) AMBAPO PIA HAKUMALIZA MWAKA wake wa masomo.

Mwaka 2009/10 ALIKUWA KATIBU MWENEZI WA CCJ,HUKU AKIWA ANAANDALIWA KUWA NAIBU KATIBU MKUU WA CCJ TAIFA CHINI YA USHAURI WA MH SAMWELI SITTA AMBAYE NI PS(PERSONAL SECRETARY) WAKE.

KIJANA HUYU MWENYE NDOTO YA KUGOMBEA UENYEKITI UVCCM TAIFA MWAKA 2013 NA MNEC CCM 2012 AMEENDELEA KUFADHILIWA NA NDESAMBURO,SITTA,MWAKYEMBE,SUMAYE,ALOYCE KIMARO,REGNALD MENGI,HAMAD MASAUNI,SHAMHUNA

KIJANA HUYU HUPENDA KUJITAMBULISHA KUWA YUPO IDARA YA USALAMA WA TAIFA.

Je ataweza kuwasaidia waliomtuma kama hao anaowashtumu uvccm? TAFAKARI.

Any way, itatusaidia huko mbele ya safari kama kumbukumbu nzuri
 
Sunday, 27 March 2011 21:52





























Sunday, 27 March 2011 21:52


makambapos.jpg
Katibu Mkuu wa CCM,Yusuph Makamba

SIKU kadhaa baada ya kuibuka kwa mlolongo wa majibizano na kurushiana tuhuma miongoni mwa vijana wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Sekretariati ya umoja huo safari hii imetakiwa kuomba radhi Watanzania kwa lugha chafu iliyoelekezwa kwa wazee na kukidhalilisha chama mbele ya wananchi.

Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Mjumbe wa Kamati ya Utekelezaji ya UVCCM mkoani Kilimanjaro, Paul Makonda, alisema umoja huo umekuwa ukitoa matamko mbalimbali kupitia kwa katibu wake mkuu, ambayo yamekuwa yakishambulia viongozi wastaafu na kukiuka kanuni za umoja huo.

"Baraza Kuu la UVCCM limejinasibu kwa siku za karibuni na kutoa matamko kadhaa, katibu wake mkuu kuibuka na kumshambulia waziwazi Waziri Mkuu mstaafu na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM, Frederick Sumaye, sio tu ni utovu wa nidhamu bali ni kuacha majukumu na kwenda nje ya wajibu wake," alisema Makonda.

Makonda alisema kwa mujibu wa sehemu ya kanuni za UVCCM, hakuna hata moja inayoonyesha kwamba, UVCCM itakuwa na jukumu la kuelekeza cha kufanyika ama CCM au jumuiya nyingine za chama, serikali na taasisi zake bali kutekeleza katiba ya CCM.

Makonda alisema UVCCM ni jumuiya ya chama hivyo haina mamlaka ya kutoa maelekeezo kwa chama ama serikali."Ukiona gari linapita reli sio jambo la ajabu, lakini gari moshi likipita barabarani basi ni tatizo kubwa, kwani lenyewe lina njia yake hiyo tu (specific way), ambapo haliwezi hata kwa dharura kuacha njia yake na kwenda barabarani," alisema.

Aliendelea kuwa kwa kutoa matamshi dhidi ya Sumaye, Baraza Kuu limeidhalilisha Halmashauri Kuu ya CCM ambayo Sumaye ni mjumbe wake na Kamati Kuu ya CCM, ambayo Sumaye amekuwa mjumbe kwa miaka kumi mfululizo na kutumikia kwa uadilifu.

Alisema kwa kudhalilisha taasisi hizo mbili ndani ya chama, basi amekidhalilisha CCM na viongozi wake wote na amesababisha usumbufu na msuguano miongoni mwa viongozi wa chama na serikali, kwani Sumaye ni mtu anayeheshimiwa ndani na nje ya serikali ya Tanzania.Hivyo, Makonda alisema UVCCM ibaini kuwa imefanya makosa na inatakiwa kuomba radhi Watanzania na wazee ambao wamewakosea adabu.

Makonda alisema tatizo kubwa lililopo kwa sasa, ni ulegelege wa uongozi wa juu kiasi cha kufanya uamuzi ambao unaendana na makundi ya watu, aliowaita wenye fedha ambao wana nia ya kuchafua watu wanaoelekea kugombea urais kwenye chama hicho.

Alisema umoja huo umekuwa na tabia ya kuziba watu midomo, kiasi chakufanya vijana waogope kusema ukweli ingawa wanajua, kwa kuhofia kufukuzwa kazi au vyuoni."Kwa woga huu ndio maana UVCCM imefikia hapa, lakini kuna wachache ambao tutajitokeza na kusema kweli hata kama kutahatarisha maisha," alisema na kuongeza kuwa, hawezi kuishi kwenye nchi ambayo hata kama anajua ukweli ataogopa kuusema kwa kuogopa kufa.
Alishutumu vijana hao wa kitaifa kwa kujali zaidi maslahi yao, kwa madai kuwa walioko wameshakula na sasa ni ‘muda wao kula'.

"Vijana waliopikwa kichama tumewapoteza, sasa tumebakia na wahuni wanaovalia mashati ya kijani na kuleta mifarakano," alisema.Kijana huyo alipambanua kuwa UVCCM inajifanya kuwa inataka, lakini kwa maslahi ya wachache kujipambanua kama taasisi pekee ndani ya taasisi kubwa.Kukosa uadilifu, kukiuka kanuni halali za jumuiya na kukiuka katiba ya CCM ni udhihirisho wazi kuwa, viongozi wa UVCCM wameamua kuanzisha chama cha siasa ndani ya chama kingine.

Alisema baada ya kuamua kusema ukweli, uongozi wa umoja huo ulidai kuwa, yeye sio mwanachama wake kitu ambacho sio kweli, kwani yeye bado ni mwanachama hai wa chama hicho."Wanadai walinivua uongozi mwaka 2009, lakini mwaka 2010 nilikuwapo kwenye Mkutano Mkuu wa CCM na nilisimamia kuhakiki kura za mgombea urais," alisema Makonda na kuhoji:
"Sasa huku sio kutapatapa? Kama niliingia sehemu zote hizo wakati sio mwanachama, chama hiki kiko sawa?"Alisema tatizo lililopo sasa umoja huoni uongozi wa kitaifa na kwamba, ili kuboresha uachwe wilayani kwenye vijana na kitaifa uundwe upya.Kijana mwingine wa CCM, David Msuya, alisema anamshangaa Katibu Mkuu wa CCM, Yusuf Makamba, kukaa kimya na kuachia wanachama kulumbana badala ya kuwachukulia hatua.
Msuya alisema hayo jijini Dar es Salaam jana, alipozungumza na waandishi wa habari.

"Inashangaza Katibu Mkuu wa CCM kukaa kimya, badala ya kuwaita hawa wanaolumbana. Ukimya wake unanipa wasiwasi kwa kuwa haya yote anayaona na kuyasikia," alisema Msuya.

Alisema ni muhimu wanaCCM wakaacha kulumbana na kujenga chama kwa kuwa, hali hiyo haijengi bali inabomoa."Nimesikitishwa na UVCCM kuendelea kutoa matamshi ya kukidhoofu chama na wastaafu kutoa matamko yao," alisema.Msuya alisema ni vizuri UVCCM wakakaa na kufikiri sababu za kukosa majimbo uchaguzi uliopita, badala ya kulumbana.

Naye Moses Mashalla kutoka Arusha anaripoti kuwa, Mjumbe wa Baraza Kuu la UVCCM, kupitia mkoa wa Mara, Anthony Mtaka, alisema malumbano hayo sio dalili nzuri kwa chama kinachoongoza serikali nchini.Mataka alisema malumbano hayo hayana tija kwa umma, huku akiwataka viongozi wanaolumbana kukumbuka dhamana ya utumishi na kura walizopewa kutumikia Watanzania.

"Malumbano kama haya sio mazuri kwa chama kinachoongoza serikali, kwani hayana tija kwa Watanzania, mimi ushauri wangu ni kwamba hawa viongozi wakumbuke ile dhamana na kura walizopewa kuongoza serikali," alisema Mtaka.
 
Mleta mada hana hoja ni wazi katumwa na kambi ya mafisadi. Kuwa wazi unasema Paul anafadhiliwa na hao...wewe anakufadhili nani?
 
Ni muda mfupi uliopita pale wanachama wa CCM walipokutana kwenye vikao vyao vya kichama kujadili mwelekeo mzima wa chama katika maswala ya siasa,nakupanga mbinu za kurejesha imani kwa watanzania juu ya chama cha mapinduzi,lakini ni mengi yaliongelewa,pamoja na lawama mbali mbali zikirushwa na UVCCM,na kutumia kigezo cha uchaguzi wa october 30,2010,na kura za Mh:Dr slaa,kuwa zimetokana na kauli za bahadhi ya wanachama ambazo ndo zinakirudisha chama nyuma nakupoteza muelekeo kwa wananchi.je malalamiko na maelezo ya UVCCM yanaweza kukirudisha chama kwenye mstari na muelekeo wa kisiasa?
wadau wa jukwaa la siasa nahitaji mchango wenu.
 
SIKU kadhaa baada ya kuibuka kwa mlolongo wa majibizano na kurushiana tuhuma miongoni mwa vijana wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Sekretariati ya umoja huo safari hii imetakiwa kuomba radhi Watanzania kwa lugha chafu iliyoelekezwa kwa wazee na kukidhalilisha chama mbele ya wananchi.

Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Mjumbe wa Kamati ya Utekelezaji ya UVCCM mkoani Kilimanjaro, Paul Makonda, alisema umoja huo umekuwa ukitoa matamko mbalimbali kupitia kwa katibu wake mkuu, ambayo yamekuwa yakishambulia viongozi wastaafu na kukiuka kanuni za umoja huo.

“Baraza Kuu la UVCCM limejinasibu kwa siku za karibuni na kutoa matamko kadhaa, katibu wake mkuu kuibuka na kumshambulia waziwazi Waziri Mkuu mstaafu na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM, Frederick Sumaye, sio tu ni utovu wa nidhamu bali ni kuacha majukumu na kwenda nje ya wajibu wake,” alisema Makonda.
Makonda alisema kwa mujibu wa sehemu ya kanuni za UVCCM, hakuna hata moja inayoonyesha kwamba, UVCCM itakuwa na jukumu la kuelekeza cha kufanyika ama CCM au jumuiya nyingine za chama, serikali na taasisi zake bali kutekeleza katiba ya CCM.

Makonda alisema UVCCM ni jumuiya ya chama hivyo haina mamlaka ya kutoa maelekeezo kwa chama ama serikali.“Ukiona gari linapita reli sio jambo la ajabu, lakini gari moshi likipita barabarani basi ni tatizo kubwa, kwani lenyewe lina njia yake hiyo tu (specific way), ambapo haliwezi hata kwa dharura kuacha njia yake na kwenda barabarani,” alisema.

Aliendelea kuwa kwa kutoa matamshi dhidi ya Sumaye, Baraza Kuu limeidhalilisha Halmashauri Kuu ya CCM ambayo Sumaye ni mjumbe wake na Kamati Kuu ya CCM, ambayo Sumaye amekuwa mjumbe kwa miaka kumi mfululizo na kutumikia kwa uadilifu.

Alisema kwa kudhalilisha taasisi hizo mbili ndani ya chama, basi amekidhalilisha CCM na viongozi wake wote na amesababisha usumbufu na msuguano miongoni mwa viongozi wa chama na serikali, kwani Sumaye ni mtu anayeheshimiwa ndani na nje ya serikali ya Tanzania.Hivyo, Makonda alisema UVCCM ibaini kuwa imefanya makosa na inatakiwa kuomba radhi Watanzania na wazee ambao wamewakosea adabu.

Makonda alisema tatizo kubwa lililopo kwa sasa, ni ulegelege wa uongozi wa juu kiasi cha kufanya uamuzi ambao unaendana na makundi ya watu, aliowaita wenye fedha ambao wana nia ya kuchafua watu wanaoelekea kugombea urais kwenye chama hicho.

Alisema umoja huo umekuwa na tabia ya kuziba watu midomo, kiasi chakufanya vijana waogope kusema ukweli ingawa wanajua, kwa kuhofia kufukuzwa kazi au vyuoni.“Kwa woga huu ndio maana UVCCM imefikia hapa, lakini kuna wachache ambao tutajitokeza na kusema kweli hata kama kutahatarisha maisha,” alisema na kuongeza kuwa, hawezi kuishi kwenye nchi ambayo hata kama anajua ukweli ataogopa kuusema kwa kuogopa kufa.
Alishutumu vijana hao wa kitaifa kwa kujali zaidi maslahi yao, kwa madai kuwa walioko wameshakula na sasa ni ‘muda wao kula’.

“Vijana waliopikwa kichama tumewapoteza, sasa tumebakia na wahuni wanaovalia mashati ya kijani na kuleta mifarakano," alisema.Kijana huyo alipambanua kuwa UVCCM inajifanya kuwa inataka, lakini kwa maslahi ya wachache kujipambanua kama taasisi pekee ndani ya taasisi kubwa.Kukosa uadilifu, kukiuka kanuni halali za jumuiya na kukiuka katiba ya CCM ni udhihirisho wazi kuwa, viongozi wa UVCCM wameamua kuanzisha chama cha siasa ndani ya chama kingine.

Alisema baada ya kuamua kusema ukweli, uongozi wa umoja huo ulidai kuwa, yeye sio mwanachama wake kitu ambacho sio kweli, kwani yeye bado ni mwanachama hai wa chama hicho.“Wanadai walinivua uongozi mwaka 2009, lakini mwaka 2010 nilikuwapo kwenye Mkutano Mkuu wa CCM na nilisimamia kuhakiki kura za mgombea urais,” alisema Makonda na kuhoji:
“Sasa huku sio kutapatapa? Kama niliingia sehemu zote hizo wakati sio mwanachama, chama hiki kiko sawa?”Alisema tatizo lililopo sasa umoja huoni uongozi wa kitaifa na kwamba, ili kuboresha uachwe wilayani kwenye vijana na kitaifa uundwe upya.Kijana mwingine wa CCM, David Msuya, alisema anamshangaa Katibu Mkuu wa CCM, Yusuf Makamba, kukaa kimya na kuachia wanachama kulumbana badala ya kuwachukulia hatua.
Msuya alisema hayo jijini Dar es Salaam jana, alipozungumza na waandishi wa habari.

"Inashangaza Katibu Mkuu wa CCM kukaa kimya, badala ya kuwaita hawa wanaolumbana. Ukimya wake unanipa wasiwasi kwa kuwa haya yote anayaona na kuyasikia," alisema Msuya.

Alisema ni muhimu wanaCCM wakaacha kulumbana na kujenga chama kwa kuwa, hali hiyo haijengi bali inabomoa."Nimesikitishwa na UVCCM kuendelea kutoa matamshi ya kukidhoofu chama na wastaafu kutoa matamko yao," alisema.Msuya alisema ni vizuri UVCCM wakakaa na kufikiri sababu za kukosa majimbo uchaguzi uliopita, badala ya kulumbana.

Naye Moses Mashalla kutoka Arusha anaripoti kuwa, Mjumbe wa Baraza Kuu la UVCCM, kupitia mkoa wa Mara, Anthony Mtaka, alisema malumbano hayo sio dalili nzuri kwa chama kinachoongoza serikali nchini.Mataka alisema malumbano hayo hayana tija kwa umma, huku akiwataka viongozi wanaolumbana kukumbuka dhamana ya utumishi na kura walizopewa kutumikia Watanzania.

"Malumbano kama haya sio mazuri kwa chama kinachoongoza serikali, kwani hayana tija kwa Watanzania, mimi ushauri wangu ni kwamba hawa viongozi wakumbuke ile dhamana na kura walizopewa kuongoza serikali," alisema Mtaka.


SOSI: MWANANCHI
 
Ukiona gari linapita reli sio jambo la ajabu, lakini gari moshi likipita barabarani basi ni tatizo kubwa, kwani lenyewe lina njia yake hiyo tu (specific way), ambapo haliwezi hata kwa dharura kuacha njia yake na kwenda barabarani,”

point to be noted kama kweli uwezo wao wa kufikiri ni mkubwa
 
ACHA MAFISADI WA CCM WAJIZIKE WENYEWE, SIE TUKO BIZE KUWAKOMBOA WALALAHOI NCHINI

Acha kelele na majungu yasiyo na msingi wowote juu ya huyu kijana Paulo Mkonda aliyejitoa mhanga kiuzalendo zaidi kuonyesha wazi KUUMWA KWAKE MOYONI NA UFISADI uliokithiri kila kona nchini.

Pengine tu kwa taarifa yako watu wenye akili tunaendelea kusikiliza 'manukato ya faraja kwa walalahoi nchini' ambayo inaendelea kutoka mfululizo mdomoni mwake.

Na wala wenzio hatuko hapa kutafuta uvundo wa kwenye vyatu vyake Paulo Mkonda leo hii kwa kuwa sote tunaelewa kila kiatu kina ujumbe wake puani.

Laiti ungeyamwaga haya yote labda kwa mwezi Februar kule kabla kijana huyu hajalichana katikati ya kichwa JOKA KUU LA UFISADI LENYE VICHWA TISA ndani ya safu zima ya UVCCM, labda wengine tungeweza kukuazima masikio yetu japo kwa sekunde moja.

Sana sana tukupe tu ushauri wa bure kwamba uache kupoteza muda wako kuwaokolea sura MAFISADI Kikwete, Lowassa na Rostam Azziz kwa kuwa hatuna muda mchafu kwao tena. Laa sivyo tutakuwekea wewe mwenyewe faili yako hapa mpaka utamani pa kujificha bora ukajikaliage kimya.

Usidhani hufahamiki kwa kuanzisha ID mpya juzi makusudi tu kwa ajili ya kumchafua Mpambanaji wa ukweli huyu. Sasa kwa kuwa wapambanaji wa ukweli ndio hivo Uzalendo kwa Taifa umekwishawaotesha kila kona ya CCM na mashirika yake yote nchini, wewe utawachafua wangapi mpaka uweze??

Lakini mpaka hapa Mwanatavangale, acha mafisadi wote ndani ya familia nzima ya CCM wakajizike wenyewe!!!!


MJUE PAULO MAKONDA

Paulo makonda ni mwanafunzi ambaye ukimwangalia kwa haraka unaweza kusema ni kijana makini,mzalendo na anayejua kuchambua siasa,

Ki uhalisia kijana huyu ni mtu anayejiona kuwa yeye ni mtu anayejua kuliko wengine na kusahau kuwa siasa inahitaji umakini wa kujenga hoja,uchambuzi wa kina katika nyanza zote.

Kijana huyu alianza masomo katika chuo cha ushirika akichukua shahada ya cooperatives management and accounting (CMA) MWAKA 2007/08 ambapo alidisco(kufeli).

Mwaka 2008/09 aliomba upya kusomea shahada ya community economic development BA CED) AMBAPO PIA HAKUMALIZA MWAKA wake wa masomo.

Mwaka 2009/10 ALIKUWA KATIBU MWENEZI WA CCJ,HUKU AKIWA ANAANDALIWA KUWA NAIBU KATIBU MKUU WA CCJ TAIFA CHINI YA USHAURI WA MH SAMWELI SITTA AMBAYE NI PS(PERSONAL SECRETARY) WAKE.

KIJANA HUYU MWENYE NDOTO YA KUGOMBEA UENYEKITI UVCCM TAIFA MWAKA 2013 NA MNEC CCM 2012 AMEENDELEA KUFADHILIWA NA NDESAMBURO,SITTA,MWAKYEMBE,SUMAYE,ALOYCE KIMARO,REGNALD MENGI,HAMAD MASAUNI,SHAMHUNA

KIJANA HUYU HUPENDA KUJITAMBULISHA KUWA YUPO IDARA YA USALAMA WA TAIFA.

Je ataweza kuwasaidia waliomtuma kama hao anaowashtumu uvccm? TAFAKARI.
 
Hawana misuli ya kutunishiana hawa, wame2nishiana mautumbo.
 
Nitarudia!

CCM ilikufa na Nyerere; iliuwawa na Mkapa. Matatizo yanayoikumba sasa hivi wakati wa Kikwete ni matokeo hayo ya kufa zamani sasa inaanza kunuke. Watu wanoamlaumu Kikwete kwa kuiua CCM wanamuoenea tu kwani alibebeshwa marehemu CCM tangu awali. Kama CCM ingekuwa iko hai wakati wa Mkapa, basi Kikwete asingekuwa rais mwaka 2005.
 
Mtu mwenye akili timamu angejadili hoja ya Paul Makonda badala ya kujadili personality yake. Jamaa alitoa hoja ambayo inatakiwa kujibiwa, bila kujali kiwango chake cha elimu maana hata angekuwa profesa hiyo sisi haituhusu. Kwani Hizza Tambwe au Guninita na wengine wengi wanaotetea mafisadi wana elimu hata ya kidato cha nne au sita? Mboa hujaibuka humu ukatuambia udhaifu wao?

Sikiliza brother, wenzio wanapolipa fadhila hawafanyi hivyo. Hutafuta hoja maridhawa na zenye mashiko ili wasiwe uchi kama ulivyo na kutuonyesha njaa yako iliyo kwenye mfuko warambo. Hatuna interest na elimu ya mtu mdogo kama Makonda ambaye wala hana nafasi ya kitaifa. Tunataka kusikia hoja zenye mashiko hata kama aliyetoa hajawahi kukanyaga darasana au hata kama kazi yake ni kuokota chupa za plastic barabarani.
 
MJUE PAULO MAKONDA

Paulo makonda ni mwanafunzi ambaye ukimwangalia kwa haraka unaweza kusema ni kijana makini,mzalendo na anayejua kuchambua siasa,

Ki uhalisia kijana huyu ni mtu anayejiona kuwa yeye ni mtu anayejua kuliko wengine na kusahau kuwa siasa inahitaji umakini wa kujenga hoja,uchambuzi wa kina katika nyanza zote.

Kijana huyu alianza masomo katika chuo cha ushirika akichukua shahada ya cooperatives management and accounting (CMA) MWAKA 2007/08 ambapo alidisco(kufeli).

Mwaka 2008/09 aliomba upya kusomea shahada ya community economic development BA CED) AMBAPO PIA HAKUMALIZA MWAKA wake wa masomo.

Mwaka 2009/10 ALIKUWA KATIBU MWENEZI WA CCJ,HUKU AKIWA ANAANDALIWA KUWA NAIBU KATIBU MKUU WA CCJ TAIFA CHINI YA USHAURI WA MH SAMWELI SITTA AMBAYE NI PS(PERSONAL SECRETARY) WAKE.

KIJANA HUYU MWENYE NDOTO YA KUGOMBEA UENYEKITI UVCCM TAIFA MWAKA 2013 NA MNEC CCM 2012 AMEENDELEA KUFADHILIWA NA NDESAMBURO,SITTA,MWAKYEMBE,SUMAYE,ALOYCE KIMARO,REGNALD MENGI,HAMAD MASAUNI,SHAMHUNA

KIJANA HUYU HUPENDA KUJITAMBULISHA KUWA YUPO IDARA YA USALAMA WA TAIFA.

Je ataweza kuwasaidia waliomtuma kama hao anaowashtumu uvccm? TAFAKARI.

Shukrani sana kwa msaada wako wa kututajia wafadhili wa Makonda. Haya na wewe tuambie wanaokufadhili mpaka unaandika kichefuchefu hiki!
 
Kwa hiyo umejiunga hapa jamvini kwa ajili hii tu au una jingine? Umbea wako peleka huko Global Publishers na Lumumba kwa Tambwe Hizza. Na mtateseka sana mwaka huu.
 
Wakuu,
Labda mnashindwa kuelewa kwamba vita hii ni ya pekee kutokea CCM ktk miaka 26 toka vyama vingi kuanza..
Tatizo linaanza pale UVCCM walipochukua jukumu la kuongoza kampeni za rais 2010 huku wazee wastaafu wakijitoa na kutojihusisha kikamilifu na kampeni za JK..

Hii imewapa UVCCM nguvu kubwa ndani ya CCM baada ya ushindi wa chama uchaguzi uliopita wakiongozwa na Lowassa/RA vinara wa kampeni nzima..

Sasa kwa mila na taratibu za chama miaka iliyopi a rais mstaafu ndio hupendekeza mgombea ambaye ataendeleza yale ya mstaafu na hakika kambi ya JK ilikiuka utaratibu huo..
Chaguo la Mkapa lilikuwa Sumaye na Kigoda na hawa walipigwa chimi mapema..Kigoda hatumsikii tena baada ya kulumbana na mkulu na hata kuvunja urafiki alisema kwamba jamaa ana miwaya..

Sasa Sumaye na wagombea wengine wasiokuwa kambi ya mtandao wanapoona hali inazidi kuchukuliwa na Mtandao ambao tayari wameisha recruit vijana tayari kwa maandalizi ya 2015 hapo ndio kaazi mpya inaanza...
Wakuu zangu, mara mmekwisha sahau vita ya CCM Asilia vs Mtandao - 2005?
Haya tunaanza upyaaaaa..
 
Back
Top Bottom