Sanja
JF-Expert Member
- Nov 7, 2010
- 499
- 223
Viongozi wengi wana duniani hasa wa nchi ni wa koloni ila tofauti inakuja ni nani na kwa njia zipi wanatekeleza ukoloni wao. Tanzania kwa kuwa hatuna ushawishi hata kwa majirani zetu tumebaki kupigana pini sisi kwa sisi,mbuzi ale kulingana na urefu wake hata ndani ya familia. Yaani kiufupi Tz turipofika mfumo unaturazimisha kukamuana mpaka basi.