Mwanaukweli
JF-Expert Member
- May 18, 2007
- 4,786
- 1,710
Dawa yake ni Zitto kuwa mwenyekiti wa CHADEMA kwa gharama yoyote, hata kama upinzani ukidhoofika na ufisadi kustawi.
Bila hivyo nchi yetu itabaki maskini sana!
Bila hivyo nchi yetu itabaki maskini sana!