Tanzania tuna miaka 63 ya toka tupate uhuru lakini kimaendeleo na kisiasa na kidemokrasia tuko juu, kuliko Haiti iliyopata uhuru miaka 220 iliyopita.
Hongera CCM kwa kuipeleka nchi spidi kali kimaendeleo, kisiasa na kidemokrasia kiasi cha kuiacha nchi ya Haiti mbali huko pamoja nankuwa walipata uhuru kiaka 220 iliyopita.
Hongera CCM kwa kuipeleka nchi spidi kali kimaendeleo, kisiasa na kidemokrasia kiasi cha kuiacha nchi ya Haiti mbali huko pamoja nankuwa walipata uhuru kiaka 220 iliyopita.