GHIBUU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 4,432
- 3,006
WAZO ZURI
Lazima upate shida ndio upate na raha,hiyo ndio democracy,muache mbowe atengeneze jina na atie akili,kwani hata viongozi wa Cuf ZANZIBAR waliwekwa ndani sana na kupigwa,na mpaka sasa wametulia wenyewe wameunagana na ccm sasa jahazi letu la zanzbar linaaza safari mpya.
Na sisi wazanzbari tunapigania nchi yetu juu ya mkoloni mwezi tanganyika ambayo inatutawala kwa jina la tanzania,naamini iko siku tutapata uhuru wetu kama munao dai nyie watanganyika kwa ccm.
Sisi lengo letu tuvunje muungano tubakie na zanzbar yetu.
Lazima upate shida ndio upate na raha,hiyo ndio democracy,muache mbowe atengeneze jina na atie akili,kwani hata viongozi wa Cuf ZANZIBAR waliwekwa ndani sana na kupigwa,na mpaka sasa wametulia wenyewe wameunagana na ccm sasa jahazi letu la zanzbar linaaza safari mpya.
Na sisi wazanzbari tunapigania nchi yetu juu ya mkoloni mwezi tanganyika ambayo inatutawala kwa jina la tanzania,naamini iko siku tutapata uhuru wetu kama munao dai nyie watanganyika kwa ccm.
Sisi lengo letu tuvunje muungano tubakie na zanzbar yetu.