Miaka 50: Tumethubutu, Tumeweza na Tunasonga Mbele...

Ni kweli wamethubutu kuwadanganya Watanganyika hadi wakaliua taifa lao na kukumbatia
Utanzania ambao upande wa pili hawaufagilii. Ni kweli wameweza kuendelea kushikilia madaraka
kwa gharama zote: mizengwe na udanganyifu hata pale kura zilipoonekana kutotosha! Ni kweli
wanasonga mbele kuhakikisha nchi hii inateketea kwa ufisadi na kuwauzia wageni huku wananchi
wao wakiishi maisha ya ufukara wa kutupwa!

Inasikitisha kuona miaka hamsini ya uhuru inaliacha taifa likiwa uchi!
 
Tumethubutu mara nyingi tuu kuiibia serikali na tumeweza katika ilo kwa mikakati ya ufisadi na tunapeta na ufisadi kama kauli mbiu yetu
 
Creative.....saaaaaf
Ni kweli wamethubutu kuwadanganya Watanganyika hadi wakaliua taifa lao na kukumbatiaUtanzania ambao upande wa pili hawaufagilii. Ni kweli wameweza kuendelea kushikilia madaraka kwa gharama zote: mizengwe na udanganyifu hata pale kura zilipoonekana kutotosha! Ni kweli wanasonga mbele kuhakikisha nchi hii inateketea kwa ufisadi na kuwauzia wageni huku wananchi wao wakiishi maisha ya ufukara wa kutupwa!Inasikitisha kuona miaka hamsini ya uhuru inaliacha taifa likiwa uchi!
 
Ni kweli wamethubutu kuwadanganya Watanganyika hadi wakaliua taifa lao na kukumbatia
Utanzania ambao upande wa pili hawaufagilii. Ni kweli wameweza kuendelea kushikilia madaraka
kwa gharama zote: mizengwe na udanganyifu hata pale kura zilipoonekana kutotosha! Ni kweli
wanasonga mbele kuhakikisha nchi hii inateketea kwa ufisadi na kuwauzia wageni huku wananchi
wao wakiishi maisha ya ufukara wa kutupwa!

Inasikitisha kuona miaka hamsini ya uhuru inaliacha taifa likiwa uchi!


Tumethubutu : KUBAKA DEMOKRASIA na

Tumeweza: KUIBA KURA MWAKA JANA na

Tunasonga Mbele: KUHAKIKISHA NO KATIBA YA UKWELI.
 
so true but so sad...50 years of pain and agony for the majority....mali mikononi mwa wachache ambao hawaonekani kushiba at all
 
labda tusubiri watwambie ni kitu gani wamethubutu, maana kama kinachoonekana leo ni yale ya Mwalimu tu! 25 mingine ni "diminishing return"! Nawashauri wapunguze pesa zinazoelekezwa kwenye maandalizi maana zingine ni mikopo na wanakomalia 'change ya rada' ili itop up. Mfano pesa za kujenga uwanja wa Uhuru si zingeenda zikamalizia uwanja wa Ali Mwinyi, Tabora au wakakarabati Kirumba badala ya kuwa na viwanja viwil kwenye uwanja mmoja!
Tuachane na slogan zisizo kuwa na UKWELI ndani yake, mfano "kasi mpya, nguvu mpya ..." hamchoki kudanganya!?
Kauli mbiu hii imekaa kiWizi mtupu....!
 
someone sent this reporty in our group mail...

inapatikana hapa, pia nimeattach

APPP Website

thought wise to share...


not read it yet... but the person commented this...
As we are about to celebrate 50 years of Tanzania independence, you may want to have a historical perspective of the country's political economy. It's rather a long report, but worth reading as it shed a lot of light on why Tanzania is where it is today. I like the report because:
- It shed light on the path our nation took since independence
- It calls a spade a spade (as it mentions corrupt leaders by names, etc)
- It's written by a foreigner who has nothing to loose (I wonder if a Tanzanian living in Tz would do such a report)
- It is a technical report written in layman language (anybody can read and understand the content)
- It's well researched with a lot of undeniable facts
- It's very current ( releeased June 2011)
- etc

wish you a good reading...
 

Attachments

  • Africa power and politics - tanzania.pdf
    1,016.4 KB · Views: 77
Ninaendelea kuisoma taratibu, nashukuru sana kwa kuiweka hapa, nadhani tuna mengi ya kutafakari na hasa leo jioni pindi tukinywa kahawa na JK katika mkesha wa kuzaliwa TANU na miaka 50 ya uhuru, nafikiri na ile taarifa katika kitabu cha 'the ugly malyasian' (nisahihishwe kama nimekosea jina la kitabu) inafaa kusomwa pamoja na utafiti huu
 
sio lazima ukubaliane asilimia 100 na yaliyoandikwa. lakini utaongeza hekma...

Kwani hiyo recently report inamapungufu gani zaidi ya ukweli!!!. Halafu tunasema tunatafuta wawekezaji waje TAnzania wakati hayo yaliyomo kwenye ripoti ndo msingi mama wa mtu kuvutiwa kuja kuwekeza!! TUTAUZWA NAONA!!
 
Mkuu can you paste the report here if you wont mind maana wengine tunatumia hizi simu za kichina attachement haifunguki!
 
kwa mentality za JF hii kitu ni too intellectual so msitegemee yoyote yule kuijadili na as we speak naona inapotezea watu muda tuu watu wanataka CHADEMA vs CCM episodes sio hili dule lililo sheheni references na usomi uliotukuka
 
Kipengele hiki ni very serious kama ripoti inasema ndicho ajuacho rais ....

[Since President Kikwete came to power] ‘the bureaucracy has been increasingly politicised. The average PS [Permanent Secretary] does not take any initiatives: he waits for orders from above. [President] Mkapa took government more seriously. On one occasion he told a group of Regional Commissioners: "I can get rid of you, but not them" [pointing at a group of PSs and other senior civil servants]. The main difference between Mkapa and Kikwete and Lowassa is that the latter only know politics whereas Mkapa was a civil servant for many years.'
 
Hicho ulichopaste hapa hata kama kinafaa, kinaharibu mtiririko mzima wa mawazo, kuna maneno yamejitenga na yanachanganya sana wakati wa kusoma, tafadhari iondoe, ni mtizamo wangu
 
Wow too long, started to read but got tired...yes quite extensive analysis of all sectors, with pros and cons....will comment next time. However, though it is good to look back to those pros and cons in development,we must fix our eyes on what we can do in the future for our people
 
CCM imeshindwa kuwa na mikakati endelevu ndani ya miaka 50 kuhusu UMEME, wataweza kwa wiki 3? Hizi dharula ndio zinawafaidisha wajanja wachache kufanya UFISADI. Huu ni wakati muafaka kwa watanzania wazalendo kufanya maamuzi. TAFAKARI
 
Inashanagaza sana kuona wenzetu wakenya pamoja na kuwa na vyanzo vichache sana vya nishati kama vile maji, gesi na makaa ya mawe wanazalisha umeme mwingi zaidi kuliko sisi!

Tatizo letu ni uongozi mbovu
 
Back
Top Bottom