Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,503
- 113,616
Leo ni siku ya Wanawake duniani
Kwanza hongera kwa wanawake wote duniani kwa kuadhimisha hii siku yao.
Leo kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa, makala ya leo ni swali
" Baada ya Watanzania kumchagua rasmi Rais mwanamke, Uchaguzi Mkuu wa 2025, je mnaonaje kama pia tumchagulie na wabunge na madiwani wanawake wa kutosha kufikisha asawa wa kijinsia wa asilimia 50/50?. Kuelekea Usawa wa Kijinsia: Kumbe 50/50 Inawezekana!, Wanawake Hao wa 50/50 Wapo!. Hongera Sana Rais Samia Kwa Kuonyesha Njia! Je 2025 Tuwaonyeshe?
Na hiyo aslimia 50/50, ikiisha fikiwa na kupatikana, kuna haja ya kuendelea na ubunge na udiwani wa viti maalum kwa wanawake?, watakuwa ni wa nini?.
Mnaonaje au baada ya kufikiwa kwa idadi ya 50/50, na kukidhi usawa wa kijinsia, jee tuvifute viti maalum kwasababu tayari tutakuwa tumefikia usawa wa kijinsia kwa mujibu wa mkutano wa Beijing?.
ila hata Amiri Jeshi Mkuu anapokuwa Mwanamke, hapendi kuitwa Amirati ana prefers kuendelea kuitwa hivyo hivyo Amiri ambalo ni jina la kiume au chairman badala ya Chairwoman or chairperson.
Tukubali tukatae bado tuna baadhi ya watu miongoni mwetu, waliofilisika kiakili na kisiasa, ambao bado wana tatizo la kutawaliwa na mfumo dume vichwani mwao na kuamini urais wa nchi ni kazi ya kiume!, hivyo ni kweli lile tukio la March 17, lilitokea kabla ya Machi 17!, hivyo lilipotokea wakafanya siri ili kumtafuta mwanaume wa kushikilia kwa kuamimi Mwanamke hawezi!
Hivyo na mimi nauliza kuna ukweli wowote kuwa kuna kazi za kiume na za kike?, na kuna kazi za kike ambazo ni za kike tuu!, wanaume hawaziwezi kama kubeba, lakini pia kuna kazi za wanawake, wanaume wanazifanya vizuri zaidi kuliko wanawake wenyewe!. Jee kuna kazi za kiume ambazo wanawake hawawezi?
Sasa baada ya Tanzania kupata rais Mwanamke kwa kudra tuu ya Mwenyezi Mungu, natoa wito kwa Watanzania kumchagua rasmi Rais mwanamke, Uchaguzi Mkuu wa 2025, je mnaonaje kama pia tumchagulie na wabunge na madiwani wanawake wa kutosha kufikisha ile idadi ya asawa wa kijinsia wa asilimia 50/50?. +, Kuelekea Usawa wa Kijinsia: Kumbe 50/50 Inawezekana!, Wanawake Hao wa 50/50 Wapo!. Hongera Sana Rais Samia Kwa Kuonyesha Njia! Je 2025 Tuwaonyeshe?
Na hiyo aslimia 50/50, ikiisha fikiwa na kupatikana, jee bado kuna haja ya kuendelea na ubunge na udiwani wa viti maalum kwa wanawake?, watakuwa ni wa nini?.
Mnaonaje au baada ya kufikiwa kwa idadi ya 50/50, na kukidhi usawa wa kijinsia, jee tuvifute viti maalum kwasababu tayari tutakuwa tumefikia usawa wa kijinsia kwa mujibu wa mkutano wa Beijing?.
Kwa sababu wanawake wa kukidhi asilimia 50/50. Wapo, wahamasishwe, wajitokeze, na Watanzania tuwachague, na baada ya kufikiwa hiyo 50/50. Viti maalum vifutwe!.
Wasalaam.
Paskali
Kwanza hongera kwa wanawake wote duniani kwa kuadhimisha hii siku yao.
Leo kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa, makala ya leo ni swali
" Baada ya Watanzania kumchagua rasmi Rais mwanamke, Uchaguzi Mkuu wa 2025, je mnaonaje kama pia tumchagulie na wabunge na madiwani wanawake wa kutosha kufikisha asawa wa kijinsia wa asilimia 50/50?. Kuelekea Usawa wa Kijinsia: Kumbe 50/50 Inawezekana!, Wanawake Hao wa 50/50 Wapo!. Hongera Sana Rais Samia Kwa Kuonyesha Njia! Je 2025 Tuwaonyeshe?
Na hiyo aslimia 50/50, ikiisha fikiwa na kupatikana, kuna haja ya kuendelea na ubunge na udiwani wa viti maalum kwa wanawake?, watakuwa ni wa nini?.
Mnaonaje au baada ya kufikiwa kwa idadi ya 50/50, na kukidhi usawa wa kijinsia, jee tuvifute viti maalum kwasababu tayari tutakuwa tumefikia usawa wa kijinsia kwa mujibu wa mkutano wa Beijing?.
ila hata Amiri Jeshi Mkuu anapokuwa Mwanamke, hapendi kuitwa Amirati ana prefers kuendelea kuitwa hivyo hivyo Amiri ambalo ni jina la kiume au chairman badala ya Chairwoman or chairperson.
Tukubali tukatae bado tuna baadhi ya watu miongoni mwetu, waliofilisika kiakili na kisiasa, ambao bado wana tatizo la kutawaliwa na mfumo dume vichwani mwao na kuamini urais wa nchi ni kazi ya kiume!, hivyo ni kweli lile tukio la March 17, lilitokea kabla ya Machi 17!, hivyo lilipotokea wakafanya siri ili kumtafuta mwanaume wa kushikilia kwa kuamimi Mwanamke hawezi!
Hivyo na mimi nauliza kuna ukweli wowote kuwa kuna kazi za kiume na za kike?, na kuna kazi za kike ambazo ni za kike tuu!, wanaume hawaziwezi kama kubeba, lakini pia kuna kazi za wanawake, wanaume wanazifanya vizuri zaidi kuliko wanawake wenyewe!. Jee kuna kazi za kiume ambazo wanawake hawawezi?
Sasa baada ya Tanzania kupata rais Mwanamke kwa kudra tuu ya Mwenyezi Mungu, natoa wito kwa Watanzania kumchagua rasmi Rais mwanamke, Uchaguzi Mkuu wa 2025, je mnaonaje kama pia tumchagulie na wabunge na madiwani wanawake wa kutosha kufikisha ile idadi ya asawa wa kijinsia wa asilimia 50/50?. +, Kuelekea Usawa wa Kijinsia: Kumbe 50/50 Inawezekana!, Wanawake Hao wa 50/50 Wapo!. Hongera Sana Rais Samia Kwa Kuonyesha Njia! Je 2025 Tuwaonyeshe?
Na hiyo aslimia 50/50, ikiisha fikiwa na kupatikana, jee bado kuna haja ya kuendelea na ubunge na udiwani wa viti maalum kwa wanawake?, watakuwa ni wa nini?.
Mnaonaje au baada ya kufikiwa kwa idadi ya 50/50, na kukidhi usawa wa kijinsia, jee tuvifute viti maalum kwasababu tayari tutakuwa tumefikia usawa wa kijinsia kwa mujibu wa mkutano wa Beijing?.
Kwa sababu wanawake wa kukidhi asilimia 50/50. Wapo, wahamasishwe, wajitokeze, na Watanzania tuwachague, na baada ya kufikiwa hiyo 50/50. Viti maalum vifutwe!.
Wasalaam.
Paskali