Miaka 50: Tumethubutu, Tumeweza na Tunasonga Mbele...

Lakini sahihi zaidi kusema "miaka 50 ya Uhuru umeme chini 1000MW" Maana CCM ilianzishwa 1977 na sio 1961.
 
Lakini sahihi zaidi kusema "miaka 50 ya Uhuru umeme chini 1000MW" Maana CCM ilianzishwa 1977 na sio 1961.
jina tu lilibadirika lkn viongozi wale wale so CCM is a mother of all FAILURES. sioni umuhimu wa kujigamba eti miaka 50?ya uhuru, over my fooot
 
asante kwa kunirekebisha, ila waliokuwa TANU si ndo hao waanzilishi wa CCM?
Ni kweli kabisa mkuu, Nchi hii sijui kwanini hatuna wivu wa maendeleo kwa Nchi zingine maana ni aibu kushindwa kupata ufumbuzi ktk masuala muhimu kama haya.
 
Ni kweli kabisa mkuu, Nchi hii sijui kwanini hatuna wivu wa maendeleo kwa Nchi zingine maana ni aibu kushindwa kupata ufumbuzi ktk masuala muhimu kama haya.
umetafakar? 2fanye nin sis kama vjana? Wakati mwingne nivyema kupeana ushaur, kuliko kuendelea kuyapigia kelele magamba yasio ckia!
 
Inatia aibu tuko bize kweli kujitangazia miaka 50 ya uhuru leo july kana kwamba tarehe 9 Disemba ni kesho, wakati huo huo nchi si tu kwamba inasonga mbele bali tunarudi kule kwenye giza la miaka hiyo 50 nyuma.
 
Haya ni madhala ya kuendesha nchi kisiasa. Pesa ambazo zingesaidia kutatua matatitizo sugu ya watu zilikuwa zinatumika kuimalisha siasa . Ona mkutano wa Kizota ulighalimu shilingi billion15 bila sababu badala ya kutafuta vyanzo vingi vya umeme.Pale penye shilika au mamlaka inayohitaji kuboreshwa ili wananchi wasibuguzike, wajanja wachache wametumia mwanya wa kutajilikia matatizo ya watu. Mfano ni Tanesco na bandarini.mavuno ni mengi ila tatizo ni watenda kazi!
 
umenikumbusha shule ya MZIMUNI na wimbo wao wa mkutano wa kizota 'mkutano mkuu wa chama taifa dodoma eeenh mnakaribishwaa' enzi za zidumu fikra sahihi, chama kushika hatamu na redio moja tuuuu! hii miaka hamsini ya wizi wa mali ya umma nakubali lkn si maendeleo! hakuna lolote naloliona ccm imefanya zaidi ya kuiba tuu
 
Waungwana,
Tumethubutu, tumeweza na tunasonga mbele: Hivi tumethubutu nini? tumeweza nini? tunasonga mbele kwenda wapi?
Misemo hiyo ina ukweli ndani yake?i
 
sijakuelewa mkuu hebu weka wazi... ni msemo unasemwa kitaani.. au ni msemo wako mpya unataka wadau wachangie!... funguka kidogo tulio gizani tukuelewe
 
sijakuelewa mkuu hebu weka wazi... ni msemo unasemwa kitaani.. au ni msemo wako mpya unataka wadau wachangie!... funguka kidogo tulio gizani tukuelewe

Maneno haya ni kauli mbiu ya miaka 50 ya Uhuru. Imetolewa na serikali.
 
tatizo la viongoz wanaopatkana kwa rejareja kauli zao na utendaj wao upo kirejareja. nchi hii kuna tatzo kubwa la mtindio wa ubongo! Kama nchi imegeuka giza,watu hawafanyi kazi,maisha ni magumu halaf wamekurupuka na huu upuuz,hiv hawa wanafkiria kwa kutumia ubongo au mizimu?
 
Haya maneno umeyatoa kwenye ukuta wa TUMBO kubwa kule facebook,
NAPE anajua kula ovyo tu we angalia tumbo lake
 
Katika nyanja ya mawasiliano unaweza ku-develop message ikaunganisha wadau au ikawagawa!. Sina shaka hata kidogo kuwa hii message au kauli mbiu ya miaka 50 ya uhuru itagawa watanzania vipande vipande. Na nahisi tatizo liko kwenye maofisa wa mawasiliano walioko serikalini hasa Ikulu, ofisi ya waziri mkuu na pia utumishi. Walipataje hii message? walifanya research gani na waka-derive vipi ili kupata hiki wanachosema. Kwa upande mmoja inaonekana kama 'mipasho'. Na hii ni tabia ya kutafuta majawabu ukiwa mezani badala ya kuangalia uhalisia wa situation.

Huyo aliyeleta wazo la hii kauli akimbiwe kama ukoma!
 
Nimemskia Bw. NAPE akiongea na clouds fm kuwa vyombo vya habari viwaeleze vijana maendeleo tuliyofikia tangu uhuru! Ni kweli yapo baadhi,ila naona matatizo ndo mengi! Miaka 50 hatuna umeme,maji,barabara,hatuna ndege ila bajaji,miji mikuu hasa dsm ni michafu na haiko well planned? Je,haya ndo maendeleo anayotaka vyombo vya habari viwaeleze vijana?
 
Back
Top Bottom