Tumethubutu kufisadi na tumeweza kuiba mabilioni ya watanzania na tunasonga mbele
<br />Tujitokeze kwenye sherehe za miaka 50 ya uhuru tukiwa tumebeba mabango ya kuikosoa serikali
<br />mkuu, wengine si watu aisee, ni viatu tu
TUMETHUBUTINo no no
1- Hatujathubutu, kwani hadi leo baadhi yetu ni watumwa ndani ya nchi yetu, tunanyanyaswa,
tunaonewa na tunauliwa na hao hao wazungu kupitia sisi wenyewe ( mauaji ya Tarime)
2- Hatujaweza, hadi leo bajeti yetu inategemea wazungu achilia mbali misaada n.k.
3- Hatujasonga mbele ukilinganisha na tulioanza nao au tulio waacha nyuma.(Kenya, Rwanda)
Tanzania imepiga hatua kubwa kufuta umaskini katika miaka 50 kuliko nchi nyingi kwa muda huo. Hata Merekani, ambayo ni nchi tajiri duniani, mpaka miaka 150 baada ya Uhuru walikuwa bado wanatabaka la umaskini kubwa kuliko ilivyo Tanzania kwa sasa.
labda tuseme wamethubutu kuiba,wameweza na wanasonga mbeleKauli mbiu ya maadhimisho ya miaka 50 ya Uhuru imetolewa leo,ambayo ni 'Tumethubutu,Tumeweza na tunasonga mbele' Je iko relevant na Tanzania ya leo miaka 50 baada ya Uhuru?