Mhe. Freeman Aikaeli Mbowe, uamuzi wako ni wa busara

Tena nimewaona wananch weng wamevalia nguo za ccm mpaka unaweza ukadhan wanaadhimisha miaka 50 ya ccm bhana hebu wabongo tubadilike!!
 
Waungana ivi magwanda na siku ya leo[uhuru day]kuna uhusiano gani na chama, mbowe leo watu wamemuona kituko mhh,ndiyo uchadema zaidi au,embu wenye maujuzi au mazoefu wanijuze

Msaada wa babaji za Ambulance unahitajika kwako, sio mzima wewe
 
Magwanda tu ndio sijapenda kuingia nayo kwenye sherehe za kitaifa je wa CCM nao waingie na kijani? hapo mbowe umeboa wajibika kwanza kwa taifa lako badala ya chama.
We kweli pipi na unalambwa hasa, kwa mtazamo wako mfinyu, ccm wanavaa rangi ya chama chao, cdm umeona wapi wakavaa nyekundu na nyeupe?
 
Kinyume na mategemeo ya Pro-CDM wengi waliomo humu JF pamoja na mawazo waliyokuwa wakiyatoa kuwa cdm wasusie sherehe za miaka 50 ya Uhuru , Mh. Mbowe ameyapuuza na kuyaona ni mawazo mfu na yasiyo mashiko ambapo yeye aliamua kuhudhuria sherehe hizo , ambapo alikuwa pembeni ya Mh. Lukuvi wakipiga story na kubadilishana mawazo. Tunakupongeza Mbowe kwa uzalendo wako, na siku zote maji hayawezi kujichanganya na mafuta, UMETHUBUTU, UMEWEZA NA SASA UNASONGA MBELE.
 
hakuna mtu anayetaka mambo ya simba na yanga hapa, hoja hii ni ya kitoto na kipuuzi
 
yaani kuhudhuria sherehe za uhuru ndo kuthubutu,kuweza na kusonga mbele? kama ndo hivyo basi tuna kazi kubwa ya kuleta mabadiliko ya kiuchumi ktk nchi hii
 
Mbowe ameingia kwenye yale maadhimisho kama Rais kivuli kwa kuwa ni kiongozi wa upinzani Bungeni, na ndo maana kapewa heshima ile ya kukaa jukwaa kuu pamoja na wageni wengine maarufu.
 
Back
Top Bottom