golwebo_mkuu
JF-Expert Member
- Mar 31, 2011
- 2,271
- 688
wabongo tunamatatizo sana, kwa kuwa wewe hujasoma au umesoma na hujui kuitetea fani yako hakumfanyi aliyesoma na anayejua kuifanya kazi yake awe unavyotaka wewe.....
haijalishi awe amefanya project moja au 100, ukiwa injinia ni injinia tu kama alivyo daktari au mwalimu...
haijalishi awe amefanya project moja au 100, ukiwa injinia ni injinia tu kama alivyo daktari au mwalimu...